KIINGEREZA kama lugha ya kufundishia na kujifunzia mashuleni.

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Dec 6, 2015
18,333
27,159
Kiingereza kimekuwa ni tatizo katika kufikia malengo ya ufundishaji na ujifunzaji kwa walengwa wengi,mfano,unakuta mtu amehitimu lakini kuongea au kuandika hadithi fupi tu ya jinsi ya kupika ugali ni shida,wakati amefundishwa tangu msingi.Kuna haja gani ya kutumia KIINGEREZA wakati KISWAHILI kipo?
 
Hakuna haja, ila pia ni jambo ambalo halipaswi kubadilishwa ghafla, naamini serikali na wadau itadeal na hili hadi lugha ya taifa iwe lugha ya kufundishia, hapo pekee ndipo tutapata wabobezi katika fani mbalimbali na nchi itapiga hatua kubwa.
 
Back
Top Bottom