Kiingereza Cha Wabongo.

Kiingereza Cha Wabongo.

Wazungu hawawezi discuss huo ubovu wa lugha..wana deal na UJUMBE tu ila mi bongo kazi yetu ni kuanza na Lugha iliyotumika..utaskia ongea vizuri,andika vizuri,kaa vizuri,nk nk

Lugha sio yetu kwanza hiyo
 
Wazungu hawawezi discuss huo ubovu wa lugha..wana deal na UJUMBE tu ila mi bongo kazi yetu ni kuanza na Lugha iliyotumika..utaskia ongea vizuri,andika vizuri,kaa vizuri,nk nk

Lugha sio yetu kwanza hiyo
Sio yetu kweli, Sasa kwa nini wanang'ang'ania kufundisha kiingereza mashuleni.
 
Sio yetu kweli, Sasa kwa nini wanang'ang'ania kufundisha kiingereza mashuleni.
si ili tupate cha kuombea kazi kama hicho kilichoandikwa hapo juu...Kinatosha kabisa kujua zaidi ni mbwembwe tu

Muhimu ujue kuomba MAJI,CHAKULA na ukibanwa mavi ujue kuomba kwenda chooni...Mengine yatakuja huko mbele ya safari.
 
Kwenye subtitle za bongo movies ndio balaa kabisa.

Ujinga mtupu.
 
Vyovyote iwavyo, Walioandamana wameonyeesha hisia za Uzalendo na Uchungu tulionao kwa Unafiki wa Serikali ya Ramaphosa.
Msijifanye mnajua sana Kiingereza humu jamvini kumbe you just use 'Is and was English' ***** zenu mxiuuuuuu.
Hao hao Wasauz maneno mawili ya Kiswahili hawayajui Mitambo wanaitwa Mitombo, Afrika ya Kusini Wanaita AFRIKA YA KUZINI.
Tulieni Dawa iwangie timu Kivuruge yule aliyekuwa anawapa bando za Matusi humu Bw.Kaflag yuko Segerea.
Kwa kukodiwa usafiri na posho juu 20K
 
Duuh kweli Lugha hii imekuwa balaa kwetu siku zote, kwa nini lakini?. Bora wangeandika kiswahili tu maana kimekubalika Ki SADC

Kiswahili ndiyo zaidi kwa mmakosa...afadhali kiingereza..angalia Kiswahili cha humu JF ndipo utajua tatizo lililopo.....tunakuwaga ...kusajiri...uharari...jinzia...kuroga...ukuje huku....masaa ya kazi....
 
Kiswahili ndiyo zaidi kwa mmakosa...afadhali kiingereza..angalia Kiswahili cha humu JF ndipo utajua tatizo lililopo.....tunakuwaga ...kusajiri...uharari...jinzia...kuroga...ukuje huku....masaa ya kazi....
Watz wengi kiswahili wanakijua vizuri.Sema sometimes wanafanya makusudi kama swaga fulani tu kutumia baadhi ya maneno kimakosa Kama hayo uliyoyaorodhesha.
 
Lakini si wangeandika kwa Kiswahili tu na wangetuelewa maana si kimeshakubalika kama lugha ya SADC!
 
Walioandika hayo maneno ni watu na akili zao na wamekosea kwa maksud ili tudhani kwamba yameandikwa na hao waandamanaji wa hali duni ukiangalia mwandiko tu utalijua hilo
 
Nasikia mkuu DAB ndie aliye draft hilo bango!
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Walioandika hayo maneno ni watu na akili zao na wamekosea kwa maksud ili tudhani kwamba yameandikwa na hao waandamanaji wa hali duni ukiangalia mwandiko tu utalijua hilo
Hii ina make sense, kunaweza kuwa na ukweli fulani ndani yake.
 
Back
Top Bottom