GE2025 Kihongosi jiandae kupita kwenye tanuru la mateso kama watangulizi wako, Nape na Polepole), baada ya zama za wahuni kupita

GE2025 Kihongosi jiandae kupita kwenye tanuru la mateso kama watangulizi wako, Nape na Polepole), baada ya zama za wahuni kupita

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,111
Nape alidondosha michozi baada ya kujikuta akinyimwa uhuru kwa bastola wa kuongea na watanzania pale Ubungo Plaza. Akaurejesha uhuru huo kwa msoto wa kutembea kwa miguu kutoka geti nje kabisa la ikulu mpk kufika ndani ya ikulu, ambako ilimpasa kumpigia magoti jiwe.

Hivi sasa ni zamu ya Polepole ambaye ambaye tangu kifo cha jiwe amepata mbinyo mpk kupelekea kuutema UBALOZI. Kubabaye! Hivi sasa anaishi kama digidigi na vietee hionei raha tena .

Sasa nafasi ya uenezi ipo mikononi mwa Kihongosi. Kwa mlio karibu naye mpeni ushauri wa bure kuwa kama hajaoa, basi asioe kabisa. Kwani zama za mateso juu yake zi karibu sana. Mara baada ya wahuni kudhibitiwa kihongosi ataishi kama digidigi.

Ni hayo tu.
 
Vipi kuhusu makalla, yeye hatapitia msoto? Kuna yule mjuba wa arusha mjini na sophia hao nao vipi?
 
Nape alidondosha michozi baada ya kujikuta akinyimwa uhuru kwa bastola wa kuongea na watanzania pale Ubungo Plaza. Akaurejesha uhuru huo kwa msoto wa kutembea kwa miguu kutoka geti nje kabisa la ikulu mpk kufika ndani ya ikulu, ambako ilimpasa kumpigia magoti jiwe.

Hivi sasa ni zamu ya Polepole ambaye ambaye tangu kifo cha jiwe amepata mbinyo mpk kupelekea kuutema UBALOZI. Kubabaye! Hivi sasa anaishi kama digidigi na vietee hionei raha tena .

Sasa nafasi ya uenezi ipo mikononi mwa Kihongosi. Kwa mlio karibu naye mpeni ushauri wa bure kuwa kama hajaoa, basi asioe kabisa. Kwani zama za mateso juu yake zi karibu sana. Mara baada ya wahuni kudhibitiwa kihongosi ataishi kama digidigi.

Ni hayo tu.
Siasa nyie wanawake huwa hamzijui. Polepole anaishi maisha mazuri na alijipanga hakukurupuka. Alijua na anajua nini anafanya. Hayo mambo huwa nyie hamyajui. Ni kama kucheza chess
 
Nape alidondosha michozi baada ya kujikuta akinyimwa uhuru kwa bastola wa kuongea na watanzania pale Ubungo Plaza. Akaurejesha uhuru huo kwa msoto wa kutembea kwa miguu kutoka geti nje kabisa la ikulu mpk kufika ndani ya ikulu, ambako ilimpasa kumpigia magoti jiwe.

Hivi sasa ni zamu ya Polepole ambaye ambaye tangu kifo cha jiwe amepata mbinyo mpk kupelekea kuutema UBALOZI. Kubabaye! Hivi sasa anaishi kama digidigi na vietee hionei raha tena .

Sasa nafasi ya uenezi ipo mikononi mwa Kihongosi. Kwa mlio karibu naye mpeni ushauri wa bure kuwa kama hajaoa, basi asioe kabisa. Kwani zama za mateso juu yake zi karibu sana. Mara baada ya wahuni kudhibitiwa kihongosi ataishi kama digidigi.

Ni hayo tu.
Namtabiria...niaka ijayo 2040....Kihongosi atakuja kuwa Mgombea Urais wa Tanzania...ajichunge tu sana...JM na ZZK walitengenezwa kama Kihongosi alivyotengenezwa kuleee Jandoni....muda tu umeamua tofauti sababu safari ni ndefu......
 
Nape alidondosha michozi baada ya kujikuta akinyimwa uhuru kwa bastola wa kuongea na watanzania pale Ubungo Plaza. Akaurejesha uhuru huo kwa msoto wa kutembea kwa miguu kutoka geti nje kabisa la ikulu mpk kufika ndani ya ikulu, ambako ilimpasa kumpigia magoti jiwe.

Hivi sasa ni zamu ya Polepole ambaye ambaye tangu kifo cha jiwe amepata mbinyo mpk kupelekea kuutema UBALOZI. Kubabaye! Hivi sasa anaishi kama digidigi na vietee hionei raha tena .

Sasa nafasi ya uenezi ipo mikononi mwa Kihongosi. Kwa mlio karibu naye mpeni ushauri wa bure kuwa kama hajaoa, basi asioe kabisa. Kwani zama za mateso juu yake zi karibu sana. Mara baada ya wahuni kudhibitiwa kihongosi ataishi kama digidigi.

Ni hayo tu.
Hakuna wa kuwadhibiti acha kumtisha mwenezi
 
Namtabiria...niaka ijayo 2040....Kihongosi atakuja kuwa Mgombea Urais wa Tanzania...ajichunge tu sana...JM na ZZK walitengenezwa kama Kihongosi alivyotengenezwa kuleee Jandoni....muda tu umeamua tofauti sababu safari ni ndefu......
Tanzania ukisema hadharani kuwa unataka kuwa Rais...unaanza kuundiwa zengwe utolewe nje ya system...sijui imekuaje MADELU bado anadunda hadi
 
Back
Top Bottom