Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,451
Hapa kigangwala anasema uchichozi unaweza pimwa kwenye mkojo,kwamba kuna kemikali ukizitumia husababisha uchochezi!
Hapa anafananisha watu na wanyama,basi naye kipimo cha mkojo kinamuhusu,huenda kemikali ndio zinamfanya asiheshimu binadamu wenzake!
Hapa anafananisha watu na wanyama,basi naye kipimo cha mkojo kinamuhusu,huenda kemikali ndio zinamfanya asiheshimu binadamu wenzake!