technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Sometimes wabongo sisi ni wapumbavu sana kwenye kuhoji maslahi.
Kigwangalla ana hoja za msingi sana, Mo anaishije na timu anayoimiliki kwa 49% bila kulipa cost za hisa?
Yaani bilion 20 hajalipa hata mia halafu mnasema aachwe tu atumie club kama anavyotaka.
Siku akiondoka timu ianze kutembeza bakuli?
Uwanja wa mazoezi kajenga, je unaitwa Simba kwanini uwe na jina lake na sio la club.
Washabiki wa Simba acheni kuwa wapumbavu timu inatumiwa kisiasa, timu inatangaza biashara za mtu asiye na hisa kihalali?
Simba mjitafakari, Kigwangalla anazo hoja za msingi.
Kigwangalla ana hoja za msingi sana, Mo anaishije na timu anayoimiliki kwa 49% bila kulipa cost za hisa?
Yaani bilion 20 hajalipa hata mia halafu mnasema aachwe tu atumie club kama anavyotaka.
Siku akiondoka timu ianze kutembeza bakuli?
Uwanja wa mazoezi kajenga, je unaitwa Simba kwanini uwe na jina lake na sio la club.
Washabiki wa Simba acheni kuwa wapumbavu timu inatumiwa kisiasa, timu inatangaza biashara za mtu asiye na hisa kihalali?
Simba mjitafakari, Kigwangalla anazo hoja za msingi.