Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,842
- 4,777
Umechanganyikiwa wewe,Ila kuhusu wanawake wazuri hakuna
ANGALIZO: kigoma si sehemu salama sana ya kuoa
Fafanua halimashauri ya manispaa ya ujiji au kigoma kwa ujumla??
Njooo manyovu uone watoto wanaodeka utazani Imana yalabhakoloyeee
Kuna wasichana waloumbika mpaka unaweza usirudi ulikotoka