Kigoma Great University (KGU)

Imana ishimwe
Mulakoze chane chane
Hata kama bado
 
Mi ndo Mara ya kwanza nimeingia mkoa huu nipo Kasulu Jana nilifika Manyovu. Sasa kwanini chuo kisijengwe barabara ya Kigoma-Nyakanazi?
 
Hatukatishwi tamaa na wapiga makelele toka Bukoba
 
lake Tanganyika University sounds much better
 
Tatizo langu ni kwenye maneno, Great halafu University! Wanaojua lugha ya malkia watatusaidia zaid
 
Kigoma imetoa watu makini nchi haijawahi tokea kuumbwa kwa ulimwengu si wanasiasa, WANAMUZIKI tu na wacheza mpira wa kimataifa pia.
cc. WCB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…