dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Katibu Mkuu wa Chadema, Vicent Mashinji amemtangaza Elius Michael kuwania ubunge wa jimbo la Buyungu. Jimbo hilo liko wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wake, Kasuku Bilago (CHADEMA) kufariki.
Katibu Mkuu-Chadema Dk Vicent Mashinji ameinyoshea kidole Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kusema hawana imani nayo kutokana na viongozi wapya waliochaguliwa hivi karibun ambao ni Jaji Mkuu mstaafu Thomas Mihayo na aliyekua Katibu Muenezi wa Itikadi CCM Omary Mapuli
"Uvurugwaji wa chaguzi huleta mkanganyiko katika nchi. Na hatuwezi kuacha kushiriki uchaguzi kwasababu hatuna imani na tume ya uchaguzi, lazima tupate viongozi kulingana na matakwa ya wananchi", amesema Dk. Vicent Mashinji, Katibu Mkuu CHADEMA
Katibu Mkuu-Chadema Dk Vicent Mashinji ameinyoshea kidole Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kusema hawana imani nayo kutokana na viongozi wapya waliochaguliwa hivi karibun ambao ni Jaji Mkuu mstaafu Thomas Mihayo na aliyekua Katibu Muenezi wa Itikadi CCM Omary Mapuli
"Uvurugwaji wa chaguzi huleta mkanganyiko katika nchi. Na hatuwezi kuacha kushiriki uchaguzi kwasababu hatuna imani na tume ya uchaguzi, lazima tupate viongozi kulingana na matakwa ya wananchi", amesema Dk. Vicent Mashinji, Katibu Mkuu CHADEMA