nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,602
- 7,175
Tatizo lenu wasukuma ni elimuUharibifu upi panga utaratibu kwamba wawe pale hakuna watu waoga kama wasukuma hilo nina uhakika nalo lkn pia unazani ni vyema kusema kama ulivyosema eti operation inayofanywa inawafaa wasukuma kufanyiwa ni ubaguzi mmbaya sana.
mmeiharibu shinyanga iliyokua na misitu mikubwa miaka ya 70, sasa hivi sehem kubwa ya shinyanga ni semi desert
Mlipoona mmeharibu kwenu, mkaingia Tabora mnafyeka miti zote na hamuambiliki, sasa hivi Tabora mvua ni za bahati nasibu
na ukiona operation inafanywa ujue taarifa imeshatoka ila wamegoma.