ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,089
- 13,014
Na umeibuliwa tena leoDaah huu uzi tayari umeibuliwa ili kukumbuka mtaalamu wetu, alale pema tu.
Na umeibuliwa tena leoDaah huu uzi tayari umeibuliwa ili kukumbuka mtaalamu wetu, alale pema tu.
Cc Bia yetu Magufuli ni fisadi toka enzi na enzi.HUYU NAHISI NI FISADI ALISHIRIKIANA MA MAGUFULI NA KWA SASA ANAONA UNGA UTAMWAGIKA MUDA WOWOTE SO KAAMUA KUKWEPA SO (SPECULATION). Mungu aiweke roho yake mahali pema.
Siyo kweli!Kuna issue ya kifamilia ilitokea si vizuri kuiandika hapa@RIP MjungiHUYU NAHISI NI FISADI ALISHIRIKIANA MA MAGUFULI NA KWA SASA ANAONA UNGA UTAMWAGIKA MUDA WOWOTE SO KAAMUA KUKWEPA SO (SPECULATION). Mungu aiweke roho yake mahali pema.
Nitafute inbox nikueleze nakafahamu hako 'kasiri'Huyu jamaa inaonekana kuna kitu kilipelekea ajiue, kuna kasiri fulani kamejificha
Hapana.Family issuesHuenda alipata taarifa juu ya kazi yake kama kuna siri imefichuka!
Mmmh nlitaka nichangie lakini huu uzi kumbe ulianzishwa kipindi siwezi ata kujenga hoja,,, R. I. P. Bw, Leopord.Hapana.Family issues
Mkuu huyu Mjungi ana ghorofa Tabata karibia na uwanja wa Twiga au mwingine?Siyo kweli!Kuna issue ya kifamilia ilitokea si vizuri kuiandika hapa@RIP Mjungi
Mzee alikuwa bize na kazi...kuliko kazi ya chumbani,Bora usioe sasa ili ufanye kazi vizuri wanawake wengine hawana uvumilivu wa kusubiri,Kuna jamaa yangu ambays alilelewa na huyu mzee alinipa hii story sababu kuu ya kujiuwa ilikuwa ni mke wake, alimuambukiza HIV, mke wake alikuwa mlevi sana alikuwa anatembea na vijana wadogo.
Mzee alikuwa bize sana na kazi pia safari za nje zilikuwa nyingi sana.
Ndiyo hivyo ila mke wake naye ilishaondoka duniani wamebaki watoto hali zao kiukweli inasikitisha sana.Mzee alikuwa bize na kazi...kuliko kazi ya chumbani,Bora usioe sasa ili ufanye kazi vizuri wanawake wengine hawana uvumilivu wa kusubiri,
bora wauze mechi.