Kigogo UVCCM ahamia CHADEMA

Kigogo UVCCM ahamia CHADEMA

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Mjumbe wa mkutano mkuu wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mahanya Edward (35 yrs) amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Edward alikabidhi kadi yake ya CCM kwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Kigoma Kusini Shaban Madele. Edward ametaja sababu ya kujiunga na CHADEMA kuwa ni kutokana na chama hicho kuwa na msimamo thabiti wa kuwapelekea wananchi maendeleo na ndicho chama ambacho kwa sasa wananchi wanakitaka.

Pia alitaja sababu nyingine kuwa ni CCM kupoteza mwelekeo na kukumbatia vitendo vya rushwa.


Source: Nipashe uk. 8
 
Mjumbe wa mkutano mkuu wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mahanya Edward (35 yrs) amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).Edward alikabidhi kadi yake ya CCM kwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Kigoma Kusini Shaban Madele.
Edward ametaja sababu ya kujiunga na CHADEMA kuwa ni kutokana na chama hicho kuwa na msimamo thabiti wa kuwapelekea wananchi maendeleo na ndicho chama ambacho kwa sasa wananchi wanakitaka.Pia alitaja sababu nyingine kuwa ni CCM kupoteza mwelekeo na kukumbatia vitendo vya rushwa.

Source:Nipashe uk. 8

Hakika inafurahisha sana jeshi linavyoongezeka kila siku.Karibu sana kwa wapambanaji
 
viona mbali wanajua nani atachukua nchi 2015 lakini nakukumbusha CDM sio sehemu ambayo utapata cheo sababu umekimbia ccm,..hayo mambo wanayo ccm walipompa wassira cheo..
 
CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!
 
Leo najikumbisha msemo wa KUVUJA KWA PAKACHA nafuu ya_ _ _ _ _ Nenda ukavae magwanda
 
Mjumbe wa mkutano mkuu wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mahanya Edward (35 yrs) amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).Edward alikabidhi kadi yake ya CCM kwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Kigoma Kusini Shaban Madele.
Edward ametaja sababu ya kujiunga na CHADEMA kuwa ni kutokana na chama hicho kuwa na msimamo thabiti wa kuwapelekea wananchi maendeleo na ndicho chama ambacho kwa sasa wananchi wanakitaka.Pia alitaja sababu nyingine kuwa ni CCM kupoteza mwelekeo na kukumbatia vitendo vya rushwa.

Source:Nipashe uk. 8

Twampotezea mie nilifikiri Benno Malisa kumbe ni kidagaa tu, nenda zako usirudi
 
CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!

character assessiment gani ambayo nyinyi mnaifanya? maana wengi wa wanachama wenu ni wezi, mafisadi, warafi wa fedha na madaraka,waongo,wanafki waoga na vihiyo pia watendaji wabovu wenye fikra 0 mpaka wasukumwe ndio watende. jaribu kufananisha ubora wa wanachama wanaotoka ccm na waliobaki ccm utagundua nani ni pumba
 
Mamluki huyo. Katumwa kuja kuchungulia kunani Chadema
 
mjumbe wa mkutano mkuu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (uvccm) mahanya edward (35 yrs) amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo (chadema).edward alikabidhi kadi yake ya ccm kwa katibu wa chadema jimbo la kigoma kusini shaban madele.
Edward ametaja sababu ya kujiunga na chadema kuwa ni kutokana na chama hicho kuwa na msimamo thabiti wa kuwapelekea wananchi maendeleo na ndicho chama ambacho kwa sasa wananchi wanakitaka.pia alitaja sababu nyingine kuwa ni ccm kupoteza mwelekeo na kukumbatia vitendo vya rushwa.

source:nipashe uk. 8


huyu anapigia mahesabu uchaguzi mdogo wa ubunge. Nadhani anafikiria kwamba hatimaye kafulila atapoteza kiti cha ubunge kutokana na kufukuzwa na nccr-mageuzi. Hivyo ameshaangalia upepo na kugundua kuwa chadema kiweza kupatia hiyo nafasi.
 
hana jipya huyu na kuhama kwake cccm, askari ahakimbii kambi anapigana mpaka kieleweke.
 
Hadi 2015 CCM wenye akili watakuwa wameikimbia na kubaki WAKATA NYASI!!
Big up CHADEMA!!
 
Nenda ukapiganie demokrasia ndani ya CDM, muulize ZITO kawa Naibu Katibu Mkuu hewa maamuzi yote ni kanda ya Kaskazini. Hata ikatokea Kafulila amepoteza ubunge, watamleta mhindi agombee ili kulipa fadhila kwa Sabodo
 
Mjumbe wa mkutano mkuu wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mahanya Edward (35 yrs) amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).Edward alikabidhi kadi yake ya CCM kwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Kigoma Kusini Shaban Madele.
Edward ametaja sababu ya kujiunga na CHADEMA kuwa ni kutokana na chama hicho kuwa na msimamo thabiti wa kuwapelekea wananchi maendeleo na ndicho chama ambacho kwa sasa wananchi wanakitaka.Pia alitaja sababu nyingine kuwa ni CCM kupoteza mwelekeo na kukumbatia vitendo vya rushwa.

Source:Nipashe uk. 8
Huyu jamaa lazima aturudi nyumabani kabla ya 2015 na atakiponda sana CHADEMA
 
Back
Top Bottom