MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Kwa kuwa magamba hawafanyi character assessiment na nyie mmeona muige! shame on youccm wanafanya hiyo character assessment?
Kwa kuwa magamba hawafanyi character assessiment na nyie mmeona muige! shame on youccm wanafanya hiyo character assessment?
CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!
Vyema mkuu! Wanajeshi wapiganaji wanatakiwa wawe wengi kuliko viongozi CDM. Mwaka 2016 January tutaimba hivi:viona mbali wanajua nani atachukua nchi 2015 lakini nakukumbusha CDM sio sehemu ambayo utapata cheo sababu umekimbia ccm,..hayo mambo wanayo ccm walipompa wassira cheo..
Nenda ukapiganie demokrasia ndani ya CDM, muulize ZITO kawa Naibu Katibu Mkuu hewa maamuzi yote ni kanda ya Kaskazini. Hata ikatokea Kafulila amepoteza ubunge, watamleta mhindi agombee ili kulipa fadhila kwa Sabodo
Mkuu usijipe moyo; mmepoteza KIGOGO!Twampotezea mie nilifikiri Benno Malisa kumbe ni kidagaa tu, nenda zako usirudi
Mamluki huyo. Katumwa kuja kuchungulia kunani Chadema
Mjumbe wa mkutano mkuu wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mahanya Edward (35 yrs) amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).Edward alikabidhi kadi yake ya CCM kwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Kigoma Kusini Shaban Madele.
Edward ametaja sababu ya kujiunga na CHADEMA kuwa ni kutokana na chama hicho kuwa na msimamo thabiti wa kuwapelekea wananchi maendeleo na ndicho chama ambacho kwa sasa wananchi wanakitaka.Pia alitaja sababu nyingine kuwa ni CCM kupoteza mwelekeo na kukumbatia vitendo vya rushwa.
Source:Nipashe uk. 8
Hakika inafurahisha sana jeshi linavyoongezeka kila siku.Karibu sana kwa wapambanaji
neno kigogo liko very abused
CDM wana mvuto gani mpaka vijana wengi wanakipenda hiki chama? hongera kijana kama umefanya maamuzi sahii
Viva CHADEMA, endeleeni kuhubiri elimu ya demokrasia kwa wananchi, mtavuna samaki wengi sana. Mpaka papa mtawavuna kabla ya 2015.
neno kigogo liko very abused
huyu anapigia mahesabu uchaguzi mdogo wa ubunge. Nadhani anafikiria kwamba hatimaye kafulila atapoteza kiti cha ubunge kutokana na kufukuzwa na nccr-mageuzi. Hivyo ameshaangalia upepo na kugundua kuwa chadema kiweza kupatia hiyo nafasi.
Twampotezea mie nilifikiri Benno Malisa kumbe ni kidagaa tu, nenda zako usirudi