CHENGU MANURE
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 914
- 567
Hili suala la kuitana vigogo, kigogo chanzo chake kilikuwa ni nini na wapi, Na pia nini hasa tafsiri ya neno kigogo.
Kuna
Kigogo wa serikali.... kigogo wa tra akamatwa.
Kigogo wa CHADEMA... mfano kigogo wa CHADEMA auwawa Geita.
Kigogo wa madawa ya kulevya.
Mke/mtoto wa kigogo.
Kigogo wa kanisa flani.
Hii kitu ipo dunia nzima au ni Tanzania tu, nini kigezo cha mtu kuwa kigogo, na hawa vigogo wanafaida gani nchini.
Msamiati huu tata wenye kuwapa watu vichwa bila sababu bora ufutwe rasmi kama hauna tija.
Kuna
Kigogo wa serikali.... kigogo wa tra akamatwa.
Kigogo wa CHADEMA... mfano kigogo wa CHADEMA auwawa Geita.
Kigogo wa madawa ya kulevya.
Mke/mtoto wa kigogo.
Kigogo wa kanisa flani.
Hii kitu ipo dunia nzima au ni Tanzania tu, nini kigezo cha mtu kuwa kigogo, na hawa vigogo wanafaida gani nchini.
Msamiati huu tata wenye kuwapa watu vichwa bila sababu bora ufutwe rasmi kama hauna tija.