Kigogo mwingine CHADEMA ajiunga na CCM leo

Kigogo mwingine CHADEMA ajiunga na CCM leo

Buku saba FC kazini...... Teh teh teh...
 
Kweli njaa mbaya. Yaani mtu anaamua uacha timu ya watu kama akina mnyika, Lisu, Lema na wengineo, kisha anaona bora kujiunga na timu ya akina watu kama akina Lusinde, Nchemba, Nape na wengineo. Kweli nimeamini fedha ina nguvu yake.
 
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema;

"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"

Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.

Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.

Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.

Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Bwiga badiili id kwa kuwa watu wote wanao hama Chadema na kuingia ccm unaleta wewe na watu wote wanao asi chadema na kuitumikia serikali ya ccm unaleta wewe sasa mimi nakushauri kuwa kwa kuwa unaitumikia ccm ambayo sasa hivi imepasuka katika makundi zaidi ya kumi tafuta id nyingine kwa kuwa si wote wanao kushangilia
Mimi binafsi napenda sana taarifa zako hapa jf lakini unaowatumikia wamefarakana tunaogopa kukupoteza!!
Ila endelea kuleta taarifa zako maana ni kweli tupu hata kama wanakubeza
 
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema;

"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"

Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.

Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.

Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.

Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

jiulize umekifanyia nini chama sio chama kimekufanyia nini.
 
Nini maana ya Kigogo? Kila Mwanasiasa ni Kigogo , na wewe ni Kigogo huko CCM ?

Haki sawa;
Pokea tu li like langu. Hivi kila mwanachama ni kigogo wa hicho chama??? Kama angeleta neno hili mtu mwingine, ningemwunga mkono lakini, Mhhh!! Mwampamba!! Kumbe ukitaka kutakatisha uovu ni kuunga mkono? Waache waende, tena wapokeeni kwa kuwapa vyeo haraka hata cheo cha kusafisha uani. Wapeni funguo za uani mnapokwenda Lumumba kupokea mshiko wenu. Haya pokea hiyo buku 7
 
Hivi mama yako naye
ameshajiuzuru kutoka CDM!? Kama hao unawaita VIGOGO basi mama yako
atakuwa LIGOGO maana ni DIWANI wa CDM. Kwanini kwanza usianze
kumkaribisha mama yako CCM badala ya kumuacha CDM aaendelee kupotea
huko? Kweli ukistaajabu ya Mtella ukiona ya Mama Mtella je?

Maskini bavu zangu.......
 
Mtela Mwampamba mama yako ni diwani wa viti maalum kupitia chadema na anapambana kwelikweli. vipi umeshindwa kumshawishi ahamie CCM?! yeye kwenye mkutano alisema "...Mwanangu hajitambui..." yatafakari sana hayo maneno.

Duu hii kali. Mtoi njaa ya akili ni mbaya kuliko tumbo. Mtela angekuwa na akili angekaa kimya, anatumika vibaya. Yeye anapambana na watu sisi tunapambana na sera. Ndio maana wanakwenda wanarudi wanatukuta tunasonga mbele. Wacha wapige hizi siasa nyepesi, ngoja kiama cha umoja dhabiti kiwatimulie vumbi.
 
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema; "Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo. Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Wenzenu wanao ifaidi ccm kwa kupiga madili makubwa kubwa kama lile la epa na escow watakuwa wana wacheka sana watu kama nyie maana mnawasaidi waendelee kupiga dili zaidi sababu wanaona vijana wajinga wajinga kama wewe manafanya kazi ya kuwasaidia ili wao waendelee kulisha matumbo yao na nyie mkiachwa muendelee kipia miayo huku mkuendelea na kazi.
 
Ama kwa hakika hiyo itakuwa ni kazi ya kutukuka iliyofanywa na Makada waandamizi wa CCM pale Tandahimba, ambao ni Mwenyekiti wa wilaya, Mh. Abdulrahiman Namtula pamoja na Katibu Mwenezi wa CCM wa wilaya hiyo, Mh. Ibrahim Ndolya. Hawa jamaa ni kiboko ya UKAWA kwani wamekuwa wakihakikisha wanakijenga chama kwa kuimarisha misingi ya haki, uadilifu, uwazi na uwajibikaji na hivyo kuwafanya hata wapinzani wavutiwe na mbinu zao za kuwaunganisha wanachama wao (wa CCM) pamoja na wananchi kwa ujumla. Nadhani huo ni mwanzo tu, kwani dalili zinaonesha hata ngome ya CUF ambacho ni chama kikuu cha upinzani wilayani humo iko mbioni kuvunjika. Huo ndio uimara na uthabiti wa CCM. Na hakuna ubishi, itaendelea kutawala kwa karne nyingi zijazo. Ahsanteni sana.
 
Hivi Mtela Mwampamba una nafasi gani CCM ?
Naona upo upo tuuu.
Ni hatar kwa mtoto wa kiume kuishi life style hiyo.
Utaishia kupigwa kota mjini hapa...
 
Last edited by a moderator:
kweli ma ccm ni mashetani,mnavyo watesa watanzania na kuwaibia hamuliziki!?.
 
Nilivyoona Kigogo nimekuja mbio nikajua pengine ni Slaa au Mbowe
 
Mtela pole sana ndugu your political future imeharibiwa na tamaa zako,utaendelea kutumikishwa ccm mwl mtela aibu kubwa kuhama chama kwa madai mepec mepec kwani matatizo yao hapo tandahimba ndio yata baki hvy milele

We umetoka jikoni rudi ukampikie mume
 
ni kujishusha hadhi yako kudebate na boya kama hilo mpika chai wa nape, angekuwa anajiheshimu angeomba ajila za walimu zilizotoka apate kipato halali kisichoondoa utu wake.

mtu mama yake ni chadema na anasema chadema ni misukule hivi huoni kama huyu ana laana ya mama yake? wewe unaweza kuthubutu kumuita mama yako mzazi msukule?

Nami nasibitisha cdm ni misukule kabisa ndio mana hawajitambuwi
Hoja zaho siku zote hazieleweki
 
"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"

Kwahiyo alikuwa cdm akitegemea kupata kitu chochote binafsi hivyo kakosa kaamua kurudi ccm huyo jamaa ni mnyonge sana kiasi kuuacha huo ukatibu wa cdm ni sawa, huko ccm atapata t-shirt na kofia. kuhusu ww mwampamba nenda stendi yoyote vijana pale wanapata 10percent kila wakijaza gari, kwa msomi wa kiwango chako kufanya kazi kama hii ni AIBU.hata kama unapata B7.hapa naona hustahili kwani hapa huja tumia akili yoyote kubuni kitu cha kusaidia jahazi la ccm lisizame,Bandiko kama hili hali stahili posho kabisa.
 
Back
Top Bottom