Kigogo mwingine CHADEMA ajiunga na CCM leo

Kigogo mwingine CHADEMA ajiunga na CCM leo

Mtela Mwampamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
537
Reaction score
347
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema;

"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"

Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.

Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.

Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.

Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
 
Nini maana ya Kigogo? Kila Mwanasiasa ni Kigogo , na wewe ni Kigogo huko CCM ?
 
Na vigogo wajiiteje?
So far hana madhara!
 
katibu mwenezi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) wa wilaya ya tandahimba, hamza salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika chama hicho na kujiunga na chama cha mapinduzi (ccm) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni katibu wa chadema wa wilaya hiyo ya tandahimba ndugu jafari hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia ccm pia amesema;

"kubwa lililonifanya nije ccm ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"

hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya chama cha mapinduzi alhaji abdallah bulembo ambaye yuko wilayani tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika mkoa wa mtwara.

Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa chama hicho kujiuzulu na kujiunga na ccm kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa viongozi wa juu wa chama hicho.

Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa chadema ndani ya chama cha mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.

Binafsi, namshukuru mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya viongozi hao wa chadema.

Kidumu chama cha mapinduzi.

ama kweli tuna makada wa vyama. Kama kweli kazi yako kuu ni kutangaza viongozi walioshindwa kuwajibika na kwamba wanakaribishwa katika chama kingine basi kweli tuna makadi wa vyama!!
 
Tokeni wote masalia acheni chama chetu imara...
 
Hivi mama yako naye ameshajiuzuru kutoka CDM!? Kama hao unawaita VIGOGO basi mama yako atakuwa LIGOGO maana ni DIWANI wa CDM. Kwanini kwanza usianze kumkaribisha mama yako CCM badala ya kumuacha CDM aaendelee kupotea huko? Kweli ukistaajabu ya Mtella ukiona ya Mama Mtella je?
 
ama kweli tuna makada wa vyama. Kama kweli kazi yako kuu ni kutangaza viongozi walioshindwa kuwajibika na kwamba wanakaribishwa katika chama kingine basi kweli tuna makadi wa vyama!!
Kwanini mkipewa habari njema kama hii huwa mnapata kiwewe.,wameiona njia ya Uzima nao wameamua kuifuata.,nami kazi yangu ni kulifikisha neno lenye Uhai na kupinga unafiki.

Kila aliyejitambua na kuuona ukweli nitamkaribisha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, chama pekee cha siasa kuwahi kutokea katika nchi ya Tanzania.
 
Hivi mama yako naye ameshajiuzuru kutoka CDM!? Kama hao unawaita VIGOGO basi mama yako atakuwa LIGOGO maana ni DIWANI wa CDM. Kwanini kwanza usianze kumkaribisha mama yako CCM badala ya kumuacha CDM aaendelee kupotea huko? Kweli ukistaajabu ya Mtella ukiona ya Mama Mtella je?
Thubutu .....
 
Si shangai sana maana ndo majority ya watz wako hivo in terms of thinking capacity, hii akili yako can't compare na ujinga wangu, mwampamba bora umaskini wa mali kuliko akili
 
Hayo majina ni ya ACT, hata CCM watahama tu!!!
 
By Mtela Mwampamba;
maswali yako sio ya msingi.,hivyo kwa heshima na taadhima sitayajibu.

yan ungeyajbu ningeshangaa,mana umeleta uharo na umeulizwa swali dogo tu lenye akili, tatz muliza swal hakujua kuwa wewe ni kichwa cha nazi km yule msanii wenu!
 
Mtela pole sana ndugu your political future imeharibiwa na tamaa zako,utaendelea kutumikishwa ccm mwl mtela aibu kubwa kuhama chama kwa madai mepec mepec kwani matatizo yao hapo tandahimba ndio yata baki hvy milele
 
Endelea kutumika kama.....zinavyotumika na mwanaume halisi..D.U.M.E....na yule dada yako...aendelee kutumika kama Lady...pe.pe.ta, mwisho wa siku Lumumba ikifungwa 2015, ndio mtajua nini maana ya Upinzani china ya Makamanda wa ukweeli
 
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema;

"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"

Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.

Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.

Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.

Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Hapo unavuta ngapi jamaa yangu?
 
Weka Picha ya tukio hilo Mkuu Mtela Mwampamba, kwani hivi sasa tumewashitukia baada ya kugundua kwamba mnatumiwa na CCM kama Condom ya "Twanga pepeta". Pia upunguze kuchanga viroba na konyagi ndani ya gongo, utaendelea kulewa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
kwanini mkipewa habari njema kama hii huwa mnapata kiwewe.,wameiona njia ya uzima nao wameamua kuifuata.,nami kazi yangu ni kulifikisha neno lenye uhai na kupinga unafiki.

Kila aliyejitambua na kuuona ukweli nitamkaribisha ndani ya chama cha mapinduzi, chama pekee cha siasa kuwahi kutokea katika nchi ya tanzania.

ndugu yangu kujitambua kabisa wewe ni nani katika hicho chama lingekuwa jambo la kwanza kulifanyia kazi. Na baada ya hapo utafahamu kabisa ni mchango gani unafaa kwa hicho chama. Ebu twende pole pole kwanza, Homework ya kwanza ni kujitambue wewe ni nani! Na hii ni kutaka kukusaidia wewe tu!
 
Weka Picha hapa Mkuu, ila ipo siku ntamrukia mtu shingoni mie... huna ushahidi, Kazi kutetea buku7 tu
 
Back
Top Bottom