Kigogo anaposhindwa kutoa sababu ya unafuu Petrol Zanzibar

Habari hii ina ukakasi wa kutosha:


View attachment 2360314

Ni vipi makamu wa rais kushindwa kutoa sababu bayana kwanini bei za mafuta Zanzibar, ni chini kuliko bara kwahakika inashangaza.
Anashindwaje wakati sababu kuu ni wingi wa Kodi na tozo zinazofikia ah.900 kwa Lita 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220521-220714.png
    Screenshot_20220521-220714.png
    127.1 KB · Views: 2
Mtu kaulizwa kati ya Tanzania bara na Visiwani anaanza kuzunguka sijui Burundi, Rwanga, Kenya, Uganda na nchi nyingine.

Hapo ndio utaona anataka kubalance jibu na ajira.

Aliyesema siasa ni zaidi ya ukahaba hakukosea.
 
Habari hii ina ukakasi wa kutosha:


View attachment 2360314

Ni vipi makamu wa rais kushindwa kutoa sababu bayana kwanini bei za mafuta Zanzibar, ni chini kuliko bara kwahakika inashangaza.

Angalia chogo huyu anavyoleta fitna. Bei ya mafuta soko la dunia ni ile ile, bei zinatofautiana kwenye nchi kwa sababu za ruzuku. Nani hajui hili kama siyo fitna tuu?
 
Ama kweli wenzetu huko watakuwa wanalamba asali.

Hi kimya cha akina Zawadini si bure.
Mkuu ni ukweli usiopingika kwamba Zanzibar wana serikali yao na bunge lao ambalo linaitwa Baraza la Wawakilishi. Hii ni kwa mujibu wa katiba iliyopo ya JMT.
 
Mkuu ni ukweli usiopingika kwamba Zanzibar wana serikali yao na bunge lao ambalo linaitwa Baraza la Wawakilishi. Hii ni kwa mujibu wa katiba iliyopo ya JMT.

Mkuu angalau sasa nimeelewa kumbe ninyi kupitia bunge lenu na serikali yenu wenzetu mnalamba asali.

Nashawishika kuurejelea uzi huu ambao ama kwa hakika sasa naweza kukubali kuwa haukuwa mbali na ukweli:

Yawezekana Zanzibar hawahitaji Katiba Mpya sasa

Ukweli mchungu, makwetu hali ni tete!
 
Mkuu angalau sasa nimeelewa kumbe ninyi kupitia bunge lenu na serikali yenu wenzetu mnalamba asali.

Nashawishika kuurejelea uzi huu ambao ama kwa hakika sasa naweza kukubali kuwa haukuwa mbali na ukweli:

Yawezekana Zanzibar hawahitaji Katiba Mpya sasa

Ukweli mchungu, makwetu hali ni tete!
Mkuu hili la kulamba asali ni la kwako. Mimi nimesema kwamba ni kweli Zanzibar ina serikali yake na bunge lake. Hili la katiba mpya, mimi kwa maoni yangu nasema Zanzibar sasa wanahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote
 
Back
Top Bottom