Baada ya Tuzo za kora kudorora tuzo pekee zenye hadhi kubwa zaidi kwa upande wa africa ni MTV na B.E.T...
Hivi karibuni Tanzania tumeweza kupata muwakilishi wetu kwenye hizo tuzo zaidi ya mara moja kilichonisikitisha ni kwenye Tuzo hizi za B.E.T kutoeleweka vigezo vyao....
Mfano mwaka jana ...... eti alishinda Eddy kenzo wa uganda..!!!!!! wakati eddy kenzo wa uganda anashinda msanii ambaye haipingiki alikuwa on fire hapa afrika mashariki tena si hata kwa kukaribiana alikuwa Dimond kutoka Tz... kuanzia nguvu ya ushawishi kwenye mitandao, kubeba tuzo mbalimbali kwenye huu ukanda wa afrika mashariki, kutoa hit songs afrika mashariki na kati, viewers wengi wa nyimbo zake youtube n.k
Upande wa Afrka magharibi kulikuwa kuna watu wawili kama Davido na Wizkid... especially wizkid ngoma yake ya ojuelegba ilikuwa universal hit, mpaka kufanyiwa remix na wasanii wakubwa duniani kama drake na wengineo... lakkini mwisho wa siku alishinda eddy kenzo huku wengi tukibakiwa na maswali...
Mwaka huu
Baada ya eddy kenzo kuchukua wengi wakibakiwa na maswali tena wametuletea suprise nyingine hawa B.E.T.... Dimond akiwa ametoa ngoma kali kibao kama Nana , make me sing, utanipenda nk....kuelekea msimu mpya pamoja na kufanya collabo kadhaa aliendelea kumaintain status as the leading artist wa afrika mashariki na kati, upande wa magharibi Davido na wizzy kama kawaida wameendelea kutoa ngoma bila kumsahau yemmy alade....
kama kawaida B.E.T wamekuja na suprise... kashinda Black cofee mtu ambaye katika msimu huu wa Tuzo ya B.E.T hakuna kubwa alilofanya kwenye muziki wa afrika....
swali..
B.E.T wanatumia kigezo gani kumpa msanii kutoka afrika Tuzo?...
Kwa Dimond.....
Kama walikunyima Tuzo mwaka jana ukiwa on fire wakampa eddy kenzo ambaye hata kimomoyo anajua kuwa ulikuwa bora zaidi yake kwa huo mwaka sioni haja ya kutumia nguvu kubwa sana kuomba kura za watu katika B.E.T...
Ifike kipindi wakikunominate utulie tu maana kama ni kura zinaamua mshindi ungeshinda mwaka jana na mwaka huu ambapo watu wamepiga kura sana...umewekeza muda mwingi we na team yako katika kuitafuta B.E.T, cha msingi rudisha nguvu katika muziki wako especially kazi zinazoangalia soko la afrika na dunia maana nguvu unayo, mashabiki unao, na team kubwa ya kusimamia kazi unayo.
Endelea kufanya kazi nzuri... wakiona unastahili watakupa tuzo... tunasuburia dude na psquare na Neyo... wataachia tu mbona...
Eddy kenzo alishinda category ya people's choice awards izi kura zilikuwa zinapigwa insta kwa hasttag ya i pick eddy kenzoBaada ya Tuzo za kora kudorora tuzo pekee zenye hadhi kubwa zaidi kwa upande wa africa ni MTV na B.E.T...
Hivi karibuni Tanzania tumeweza kupata muwakilishi wetu kwenye hizo tuzo zaidi ya mara moja kilichonisikitisha ni kwenye Tuzo hizi za B.E.T kutoeleweka vigezo vyao....
Mfano mwaka jana ...... eti alishinda Eddy kenzo wa uganda..!!!!!! wakati eddy kenzo wa uganda anashinda msanii ambaye haipingiki alikuwa on fire hapa afrika mashariki tena si hata kwa kukaribiana alikuwa Dimond kutoka Tz... kuanzia nguvu ya ushawishi kwenye mitandao, kubeba tuzo mbalimbali kwenye huu ukanda wa afrika mashariki, kutoa hit songs afrika mashariki na kati, viewers wengi wa nyimbo zake youtube n.k
Upande wa Afrka magharibi kulikuwa kuna watu wawili kama Davido na Wizkid... especially wizkid ngoma yake ya ojuelegba ilikuwa universal hit, mpaka kufanyiwa remix na wasanii wakubwa duniani kama drake na wengineo... lakkini mwisho wa siku alishinda eddy kenzo huku wengi tukibakiwa na maswali...
Mwaka huu
Baada ya eddy kenzo kuchukua wengi wakibakiwa na maswali tena wametuletea suprise nyingine hawa B.E.T.... Dimond akiwa ametoa ngoma kali kibao kama Nana , make me sing, utanipenda nk....kuelekea msimu mpya pamoja na kufanya collabo kadhaa aliendelea kumaintain status as the leading artist wa afrika mashariki na kati, upande wa magharibi Davido na wizzy kama kawaida wameendelea kutoa ngoma bila kumsahau yemmy alade....
kama kawaida B.E.T wamekuja na suprise... kashinda Black cofee mtu ambaye katika msimu huu wa Tuzo ya B.E.T hakuna kubwa alilofanya kwenye muziki wa afrika....
swali..
B.E.T wanatumia kigezo gani kumpa msanii kutoka afrika Tuzo?...
Kwa Dimond.....
Kama walikunyima Tuzo mwaka jana ukiwa on fire wakampa eddy kenzo ambaye hata kimomoyo anajua kuwa ulikuwa bora zaidi yake kwa huo mwaka sioni haja ya kutumia nguvu kubwa sana kuomba kura za watu katika B.E.T...
Ifike kipindi wakikunominate utulie tu maana kama ni kura zinaamua mshindi ungeshinda mwaka jana na mwaka huu ambapo watu wamepiga kura sana...umewekeza muda mwingi we na team yako katika kuitafuta B.E.T, cha msingi rudisha nguvu katika muziki wako especially kazi zinazoangalia soko la afrika na dunia maana nguvu unayo, mashabiki unao, na team kubwa ya kusimamia kazi unayo.
Endelea kufanya kazi nzuri... wakiona unastahili watakupa tuzo... tunasuburia dude na psquare na Neyo... wataachia tu mbona...
nitajie ngoma zake 5 kaliKwa kweli vigezo hata mimi vinanichanganya! ila mtoa post kwa unavyomuona Diamond ni mkali zaidi ya Eddy Kenzo naona wewe huujui muziki kabisaaa... kwa msiyemjua Edy kenzo ndiye yule aliyeimba ule wimbo maarufu kuliko unaoitwa MARIA ROSA.
huoni kama hii ni dharau sasa..... maana kama nyimbo haimbi unampaje tuzo mbele ya watu ambao wanamwaga jasho , damu na machozi wakiperfom na kuimbaEddy kenzo alishinda category ya people's choice awards izi kura zilikuwa zinapigwa insta kwa hasttag ya i pick eddy kenzo
Stone bwoi toka ghana ndo alishinda best international africa act hii pia ilileta maneno
Black coffee nahisi wamempa coz jamaa n mlemavu mkono wa kushoto haufanyi kazi so atakipiga mziki anatumia mkono mmoja huyu n km dj khaleed nyimbo zke nyingi aimbagi ana featuring tu wasanii ku produce ndo anafanya yeye hata akiimba n kidogo km dj gueta
Black Coffee (born Nkosinathi Maphumulo on 11 March 1976) is a South African multi-award winning record producer and DJ. He began his career around the year 1995[1] and has released five albums[2] and a live DVD under his Johannesberg-based record label, Soulistic Music.[3] He is arguably the most prominent electronic music producer in Africa.[4] He had his big break shortly after being chosen as a participant in the 2004 Red Bull Music Academy held in Cape Town.[5] On the 29th of September 2015, he won the "Breakthrough DJ Of The Year" award at the DJ Awards in Ibiza,[6] a few weeks after the release of his fifth studio album, Pieces Of Me.[7]Eddy kenzo alishinda category ya people's choice awards izi kura zilikuwa zinapigwa insta kwa hasttag ya i pick eddy kenzo
Stone bwoi toka ghana ndo alishinda best international africa act hii pia ilileta maneno
Black coffee nahisi wamempa coz jamaa n mlemavu mkono wa kushoto haufanyi kazi so atakipiga mziki anatumia mkono mmoja huyu n km dj khaleed nyimbo zke nyingi aimbagi ana featuring tu wasanii ku produce ndo anafanya yeye hata akiimba n kidogo km dj gueta
kabisa... ila usimnominate mtu halafu mwisho wa siku usitende haki... angepata wizzy au mtu mwingine mbona ingeeleweka tuYote heri, iwe vyovyote iwavyo lakini mwisho wa siku lazima mshindi apatikane, kabla ya kutangazwa mshindi tayari DIAMOND ni mshindi,kwani ni wasanii wangapi hawajawa hata nominii si tu E. Africa bali hata kwa Africa kiujumla.
wenyewe si ndio wamependa kutunuku tuzo..
kama wanatoa watoe kwa haki... sio kwa vigezo ambavyo havieleweki
..smh
Black Entertaiment TV ( B.E.T) Black hata akiishi mbinguni bado atakuwa tofauti na wenzake ktk hali yoyote ile.kabisa... ila usimnominate mtu halafu mwisho wa siku usitende haki... angepata wizzy au mtu mwingine mbona ingeeleweka tu
wangetaja vigezo sasa.... au waseme tu wanampa wanayejiskia kumpa...Kama wamependa kutoa basi watatoa kwa vigezo vyao.
Ya nini kulialia kama ukikosa?
Mnataka kuwapangia vigezo?