Kigezo cha kushinda BET ni kipi hasa?

el nino

JF-Expert Member
Nov 5, 2013
4,712
5,031
Baada ya Tuzo za kora kudorora tuzo pekee zenye hadhi kubwa zaidi kwa upande wa africa ni MTV na B.E.T...

Hivi karibuni Tanzania tumeweza kupata muwakilishi wetu kwenye hizo tuzo zaidi ya mara moja kilichonisikitisha ni kwenye Tuzo hizi za B.E.T kutoeleweka vigezo vyao....

Mfano mwaka jana Msanii ambaye haipingiki alikuwa on fire hapa afrika mashariki tena si hata kwa kukaribiana alikuwa Dimond kutoka Tz... kuanzia nguvu ya ushawishi kwenye mitandao, kubeba tuzo mbalimbali kwenye huu ukanda wa afrika mashariki, kutoa hit songs afrika mashariki na kati, viewers wengi wa nyimbo zake youtube n.k...

Upande wa Afrka magharibi kulikuwa kuna watu wawili kama Davido na Wizkid... especially wizkid ngoma yake ya ojuelegba ilikuwa universal hit, mpaka kufanyiwa remix na wasanii wakubwa duniani kama drake na wengineo... lakkini mwisho wa siku alishinda Stanbwoy huku wengi tukibakiwa na maswali...

Mwaka huu

Dimond akiwa ametoa ngoma kali kibao kama Nana , make me sing, utanipenda nk....kuelekea msimu mpya pamoja na kufanya collabo kadhaa aliendelea kumaintain status as the leading artist wa afrika mashariki na kati, upande wa magharibi Davido na wizzy kama kawaida wameendelea kutoa ngoma bila kumsahau yemmy alade....

kama kawaida B.E.T wamekuja na suprise... kashinda Black cofee mtu ambaye katika msimu huu wa Tuzo ya B.E.T hakuna kubwa alilofanya kwenye muziki wa afrika ambalo kwa wafuatiliaji wa muziki hapa afrika watakiri kuwa anastahili...


swali..

B.E.T wanatumia kigezo gani kumpa msanii kutoka afrika Tuzo?...



Kwa Dimond.....

Kama walikunyima Tuzo mwaka jana ukiwa on fire wakampa stanbwoy ambaye hata kimomoyo anajua kuwa ulikuwa bora zaidi yake kwa huo mwaka sioni haja ya kutumia nguvu kubwa sana kuomba kura za watu katika B.E.T...

Ifike kipindi wakikunominate utulie tu maana kama ni kura zinaamua mshindi ungeshinda mwaka jana na mwaka huu ambapo watu wamepiga kura sana...umewekeza muda mwingi we na team yako katika kuitafuta B.E.T, cha msingi rudisha nguvu katika muziki wako especially kazi zinazoangalia soko la afrika na dunia maana nguvu unayo, mashabiki unao, na team kubwa ya kusimamia kazi unayo.

Endelea kufanya kazi nzuri... wakiona unastahili watakupa tuzo... tunasuburia dude na psquare na Neyo... wataachia tu mbona...
 
Baada ya Tuzo za kora kudorora tuzo pekee zenye hadhi kubwa zaidi kwa upande wa africa ni MTV na B.E.T...

Hivi karibuni Tanzania tumeweza kupata muwakilishi wetu kwenye hizo tuzo zaidi ya mara moja kilichonisikitisha ni kwenye Tuzo hizi za B.E.T kutoeleweka vigezo vyao....

Mfano mwaka jana ...... eti alishinda Eddy kenzo wa uganda..!!!!!! wakati eddy kenzo wa uganda anashinda msanii ambaye haipingiki alikuwa on fire hapa afrika mashariki tena si hata kwa kukaribiana alikuwa Dimond kutoka Tz... kuanzia nguvu ya ushawishi kwenye mitandao, kubeba tuzo mbalimbali kwenye huu ukanda wa afrika mashariki, kutoa hit songs afrika mashariki na kati, viewers wengi wa nyimbo zake youtube n.k

Upande wa Afrka magharibi kulikuwa kuna watu wawili kama Davido na Wizkid... especially wizkid ngoma yake ya ojuelegba ilikuwa universal hit, mpaka kufanyiwa remix na wasanii wakubwa duniani kama drake na wengineo... lakkini mwisho wa siku alishinda eddy kenzo huku wengi tukibakiwa na maswali...

Mwaka huu

Baada ya eddy kenzo kuchukua wengi wakibakiwa na maswali tena wametuletea suprise nyingine hawa B.E.T.... Dimond akiwa ametoa ngoma kali kibao kama Nana , make me sing, utanipenda nk....kuelekea msimu mpya pamoja na kufanya collabo kadhaa aliendelea kumaintain status as the leading artist wa afrika mashariki na kati, upande wa magharibi Davido na wizzy kama kawaida wameendelea kutoa ngoma bila kumsahau yemmy alade....

kama kawaida B.E.T wamekuja na suprise... kashinda Black cofee mtu ambaye katika msimu huu wa Tuzo ya B.E.T hakuna kubwa alilofanya kwenye muziki wa afrika....


swali..

B.E.T wanatumia kigezo gani kumpa msanii kutoka afrika Tuzo?...



Kwa Dimond.....

Kama walikunyima Tuzo mwaka jana ukiwa on fire wakampa eddy kenzo ambaye hata kimomoyo anajua kuwa ulikuwa bora zaidi yake kwa huo mwaka sioni haja ya kutumia nguvu kubwa sana kuomba kura za watu katika B.E.T...

Ifike kipindi wakikunominate utulie tu maana kama ni kura zinaamua mshindi ungeshinda mwaka jana na mwaka huu ambapo watu wamepiga kura sana...umewekeza muda mwingi we na team yako katika kuitafuta B.E.T, cha msingi rudisha nguvu katika muziki wako especially kazi zinazoangalia soko la afrika na dunia maana nguvu unayo, mashabiki unao, na team kubwa ya kusimamia kazi unayo.

Endelea kufanya kazi nzuri... wakiona unastahili watakupa tuzo... tunasuburia dude na psquare na Neyo... wataachia tu mbona...

Umeandika makala ndefu ila bahati mbaya nahisi hujui unachokiandika au umekosea, anyway tuanze kwanza kwa kurekebisha hapo kwa edy kenzo mwaka jana hakushinda hiki kipengele cha Diamond ye alishinda tuzo ya best new international artist, by peoples choice, na Diamond mwaka jana hakuwa nominated kwenye kipengele cha bet best international act bali ni mwaka huu

Hivo basi mshindi wa mwaka jana wa tuzo hii hakuwa edy kenzo km unavyodai bali alikuwa stone bwoi akiwashinda kina wizkid, sarkoide, AKA na yemi alade
km watanzania naamini wengi imetuuma ila kabla ya kuanzisha uzi ambao una mapungufu ni bora kufanya kwanza uchunguzi juu ya unachotaka kuandika
 
Baada ya Tuzo za kora kudorora tuzo pekee zenye hadhi kubwa zaidi kwa upande wa africa ni MTV na B.E.T...

Hivi karibuni Tanzania tumeweza kupata muwakilishi wetu kwenye hizo tuzo zaidi ya mara moja kilichonisikitisha ni kwenye Tuzo hizi za B.E.T kutoeleweka vigezo vyao....

Mfano mwaka jana ...... eti alishinda Eddy kenzo wa uganda..!!!!!! wakati eddy kenzo wa uganda anashinda msanii ambaye haipingiki alikuwa on fire hapa afrika mashariki tena si hata kwa kukaribiana alikuwa Dimond kutoka Tz... kuanzia nguvu ya ushawishi kwenye mitandao, kubeba tuzo mbalimbali kwenye huu ukanda wa afrika mashariki, kutoa hit songs afrika mashariki na kati, viewers wengi wa nyimbo zake youtube n.k

Upande wa Afrka magharibi kulikuwa kuna watu wawili kama Davido na Wizkid... especially wizkid ngoma yake ya ojuelegba ilikuwa universal hit, mpaka kufanyiwa remix na wasanii wakubwa duniani kama drake na wengineo... lakkini mwisho wa siku alishinda eddy kenzo huku wengi tukibakiwa na maswali...

Mwaka huu

Baada ya eddy kenzo kuchukua wengi wakibakiwa na maswali tena wametuletea suprise nyingine hawa B.E.T.... Dimond akiwa ametoa ngoma kali kibao kama Nana , make me sing, utanipenda nk....kuelekea msimu mpya pamoja na kufanya collabo kadhaa aliendelea kumaintain status as the leading artist wa afrika mashariki na kati, upande wa magharibi Davido na wizzy kama kawaida wameendelea kutoa ngoma bila kumsahau yemmy alade....

kama kawaida B.E.T wamekuja na suprise... kashinda Black cofee mtu ambaye katika msimu huu wa Tuzo ya B.E.T hakuna kubwa alilofanya kwenye muziki wa afrika....


swali..

B.E.T wanatumia kigezo gani kumpa msanii kutoka afrika Tuzo?...



Kwa Dimond.....

Kama walikunyima Tuzo mwaka jana ukiwa on fire wakampa eddy kenzo ambaye hata kimomoyo anajua kuwa ulikuwa bora zaidi yake kwa huo mwaka sioni haja ya kutumia nguvu kubwa sana kuomba kura za watu katika B.E.T...

Ifike kipindi wakikunominate utulie tu maana kama ni kura zinaamua mshindi ungeshinda mwaka jana na mwaka huu ambapo watu wamepiga kura sana...umewekeza muda mwingi we na team yako katika kuitafuta B.E.T, cha msingi rudisha nguvu katika muziki wako especially kazi zinazoangalia soko la afrika na dunia maana nguvu unayo, mashabiki unao, na team kubwa ya kusimamia kazi unayo.

Endelea kufanya kazi nzuri... wakiona unastahili watakupa tuzo... tunasuburia dude na psquare na Neyo... wataachia tu mbona...
Eddy kenzo alishinda category ya people's choice awards izi kura zilikuwa zinapigwa insta kwa hasttag ya i pick eddy kenzo

Stone bwoi toka ghana ndo alishinda best international africa act hii pia ilileta maneno

Black coffee nahisi wamempa coz jamaa n mlemavu mkono wa kushoto haufanyi kazi so atakipiga mziki anatumia mkono mmoja huyu n km dj khaleed nyimbo zke nyingi aimbagi ana featuring tu wasanii ku produce ndo anafanya yeye hata akiimba n kidogo km dj gueta
 
Black Coffee (born Nkosinathi Maphumulo on 11 March 1976) is a South African multi-award winning record producer and DJ. He began his career around the year 1995[1] and has released five albums[2] and a live DVD under his Johannesberg-based record label, Soulistic Music.[3] He is arguably the most prominent electronic music producer in Africa.[4] He had his big break shortly after being chosen as a participant in the 2004 Red Bull Music Academy held in Cape Town.[5] On the 29th of September 2015, he won the "Breakthrough DJ Of The Year" award at the DJ Awards in Ibiza,[6] a few weeks after the release of his fifth studio album, Pieces Of Me.[7]
 
Kwa kweli vigezo hata mimi vinanichanganya! ila mtoa post kwa unavyomuona Diamond ni mkali zaidi ya Eddy Kenzo naona wewe huujui muziki kabisaaa... kwa msiyemjua Edy kenzo ndiye yule aliyeimba ule wimbo maarufu kuliko unaoitwa MARIA ROSA.
 
Kwa kweli vigezo hata mimi vinanichanganya! ila mtoa post kwa unavyomuona Diamond ni mkali zaidi ya Eddy Kenzo naona wewe huujui muziki kabisaaa... kwa msiyemjua Edy kenzo ndiye yule aliyeimba ule wimbo maarufu kuliko unaoitwa MARIA ROSA.
nitajie ngoma zake 5 kali
 
Eddy kenzo alishinda category ya people's choice awards izi kura zilikuwa zinapigwa insta kwa hasttag ya i pick eddy kenzo

Stone bwoi toka ghana ndo alishinda best international africa act hii pia ilileta maneno

Black coffee nahisi wamempa coz jamaa n mlemavu mkono wa kushoto haufanyi kazi so atakipiga mziki anatumia mkono mmoja huyu n km dj khaleed nyimbo zke nyingi aimbagi ana featuring tu wasanii ku produce ndo anafanya yeye hata akiimba n kidogo km dj gueta
huoni kama hii ni dharau sasa..... maana kama nyimbo haimbi unampaje tuzo mbele ya watu ambao wanamwaga jasho , damu na machozi wakiperfom na kuimba
 
Eddy kenzo alishinda category ya people's choice awards izi kura zilikuwa zinapigwa insta kwa hasttag ya i pick eddy kenzo

Stone bwoi toka ghana ndo alishinda best international africa act hii pia ilileta maneno

Black coffee nahisi wamempa coz jamaa n mlemavu mkono wa kushoto haufanyi kazi so atakipiga mziki anatumia mkono mmoja huyu n km dj khaleed nyimbo zke nyingi aimbagi ana featuring tu wasanii ku produce ndo anafanya yeye hata akiimba n kidogo km dj gueta
Black Coffee (born Nkosinathi Maphumulo on 11 March 1976) is a South African multi-award winning record producer and DJ. He began his career around the year 1995[1] and has released five albums[2] and a live DVD under his Johannesberg-based record label, Soulistic Music.[3] He is arguably the most prominent electronic music producer in Africa.[4] He had his big break shortly after being chosen as a participant in the 2004 Red Bull Music Academy held in Cape Town.[5] On the 29th of September 2015, he won the "Breakthrough DJ Of The Year" award at the DJ Awards in Ibiza,[6] a few weeks after the release of his fifth studio album, Pieces Of Me.[7]
 
Yote heri, iwe vyovyote iwavyo lakini mwisho wa siku lazima mshindi apatikane, kabla ya kutangazwa mshindi tayari DIAMOND ni mshindi,kwani ni wasanii wangapi hawajawa hata nominii si tu E. Africa bali hata kwa Africa kiujumla.
 
Yote heri, iwe vyovyote iwavyo lakini mwisho wa siku lazima mshindi apatikane, kabla ya kutangazwa mshindi tayari DIAMOND ni mshindi,kwani ni wasanii wangapi hawajawa hata nominii si tu E. Africa bali hata kwa Africa kiujumla.
kabisa... ila usimnominate mtu halafu mwisho wa siku usitende haki... angepata wizzy au mtu mwingine mbona ingeeleweka tu
 
wenyewe si ndio wamependa kutunuku tuzo..

kama wanatoa watoe kwa haki... sio kwa vigezo ambavyo havieleweki
..smh

Kama wamependa kutoa basi watatoa kwa vigezo vyao.

Ya nini kulialia kama ukikosa?

Mnataka kuwapangia vigezo?
 
kabisa... ila usimnominate mtu halafu mwisho wa siku usitende haki... angepata wizzy au mtu mwingine mbona ingeeleweka tu
Black Entertaiment TV ( B.E.T) Black hata akiishi mbinguni bado atakuwa tofauti na wenzake ktk hali yoyote ile.
 
Kwenye muziki, nadhani BET hawatumii kura za mitandao tu, bali pia wana judging body inayoangalia mambo mengine mbalimbali kimuziki na hasa uimara wa muziki wenyewe. Muziki imara huendelea kusikilizwa kwa muda nrefu sana, lakini muziki unaokuwa hot sana ukiwa mpya na kupoteza ladha baada ya wiki mbili tu siyo muziki imara. Wanamuziki wengi Tanzania leo hii pamoja na Diamond wanatunga nyimbo za namna hiyo, zinazohit haraka sana na kufikia views millioni kadhaa kwa muda mfupi tu na halafu baadaye kutoweka mioyoni mwa wasikilizaji. Nyimbo zao karibu hutumia octave moja tu bila kuwa na scale inayojulikana; huwezi kujua kama wimbo ni C-major, G-major, D-Minor au scale yoyote ile ya muziki. Ingawa nyimbo zetu nyingi zinaelekewa kuwa C-Major ambayo ndiyo nyepesi, lakini utashangaa kusikia zina notes za flat na sharp ndani yake. Inabidi watunzi wawatumie pia wataalamu wa muziki kuwasaidia kupanga nyimbo zao kuondoa matatizo hayo ya kimuziki badala ya kutegemea kompyuta tu. Ukisikiliza nyimbo za huyo Black Coffee utaona kuwa siyo hot sana, lakini pia siyo rahisi kuzichoka; unaweza kuendelea kuzisikiliza kwa muda mrefu sana kwa sababu zimepangwa vizuri sana kimuziki.

Na jambo jingine, nadhani inabidi Diamond apunguze hizo zinazoitwa collabo kwenye nyimbo zake, anaweza kushiriki nyimbo za wengine lakini za kwake ajitahidi kuwa yeye mwenyewe. Nyimbo zote maarufu za Diamond katika miaka mitatu iliyopita zinatumia waimbaji wengine.
 
Kama wamependa kutoa basi watatoa kwa vigezo vyao.

Ya nini kulialia kama ukikosa?

Mnataka kuwapangia vigezo?
wangetaja vigezo sasa.... au waseme tu wanampa wanayejiskia kumpa...

ukiachana na hayo tuzo za kilimanjaro bado ni shit.... labda kidogo MTV mama wapo serious kidogo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom