Dini ni muhimu sana kwenye mapenzi hasa ndoa.Maelezo yako yanaonesha mnatarajia kuoana baada ya miaka miwili ushauri wangu kwa kuzingatia pia Mimi ni MSABATO ...huyo binti aanze kusali SDA abatizwe na awe mshiriki wa kanisa.Hiyo itakusaidia kumkuza kiroho na kufata imani yako ..akifanya hivyo na wazazi wako wakiona ameanza utumishi hawatakuwa na pingamizi lolote.
NB: ni vizuri kufuatilia kwa ukaribu kuna watu wengine hasa
wasichana wanakubali tu kuwa watabadili dini wanaweza badili kweli lakini ukisha muoa tu sababu kibao haendi/ hashiriki kazi za kanisa ...anachobakia nacho ni kufikiria dini yake ya awali hivyo tunapaswa kuwa makini zaidi ndo sababu wazazi wanasisitiza msabato pure
Karibu south nyanza conference kaka