CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,074
Mara zote huanza mapenzi, dini baadaye. Ndiyo maana ulivovutiwa naye kwa mara ya kwanza hakuwa ameandikwa dini usoni, hata ulivoongea naye siku ya kwanza sidhani kama ulimuuliza dini yake! Jifunze kufanya maamuzi yako, usiwe nyenyenye mtoto wa mama kila kitu unaenda kusemelea!