Kamanda, kuna kazi nyingine ni za serikali... sio zako
suala la ulinzi na usalama kwa ujumla linaangukia serikalini, wee ni kuhamasisha ulinzi jamii na mawasiliano bora baina ya mtu na mtu
HILI SI LA LEO WALA JANA: USHAURI, TENGENEZA CONCRETE DOSSIER YA MATUKIO YA UVUNJAJI AMANI, NINI KILIFANYIKA NA NANI NA MWISHO WAKE ULIKUA UPI
IF YOU DO THAT UTAKUA UMEFANYA KUBWA KULIKO "KUFUATILIA"
Nitafuatilia......
Hali imetulia ss.. Vijana ahsanteni kwa ushirikiano wenu.. Pamoja tunaweza...!
Kwani hujasoma alichokiandika? Acha kukurupuka mdau!
acha uongo na kutujazia nosense kwenye server yetu mbunge aseme anafuatilia wewe unajitia hali shwari mitanzania bwanaa...
ina maana ulikuwa hujui nini ndio madhara hayo ya kuwa mbunge kigamboni unakaa sinza mheshimiwa itabidi tuwaambie wananchi wa kigamboni waanze kuwa choma moto tu...
ntashukuru
Ahsante sana. Msalimie kamanda Anna KomuNimewasiliana na OCD. Wana taarifa kuhusu matukio haya. Baadhi ya wahusika kwenye mtandao huu wameshakamatwa. Tuendelee kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi na vikundi vya Ulinzi Shirikishi kwenye eneo hili la Feri
Nimewasiliana na OCD. Wana taarifa kuhusu matukio haya. Baadhi ya wahusika kwenye mtandao huu wameshakamatwa. Tuendelee kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi na vikundi vya Ulinzi Shirikishi kwenye eneo hili la Feri
Nitafuatilia......
huku kigamboni yaani
wezi wamekwisha kuwa kama watemi! Wanaiba bila woga, wanatembea kama 10
hivi! Inamaana wakikosa barabarani wanavamia kwenye sehemu za wanafunzi.
Huku Si salama hata kidogo kwasababu wezi wameachiwa wanatamba na
silaha zao za visu!
Mheshimiwa swala usafiri wa Kigamboni - Kongowe tunaomba ulifanyie kazi daladala zinakata routes sana hazifiki kongowe.