MrNSSF
Senior Member
- Mar 17, 2011
- 136
- 73
Naomba unitumie PM ili nilishughulikie suala lako ipasavyome ni mwanachama na uhuni wenu nauona,kama ile ya wilaya ya kinondon hata customer care ishu
Naomba unitumie PM ili nilishughulikie suala lako ipasavyome ni mwanachama na uhuni wenu nauona,kama ile ya wilaya ya kinondon hata customer care ishu
It is a good step forward this is what we call Public-private partnership (PPP) which involves a contract between a public sector authority and a private party, in which the private party provides a public service or project and assumes substantial financial, technical and operational risk in the project. In some types of PPP, the cost of using the service is borne exclusively by the users of the service and not by the taxpayer
lina sehemu ya watembea kwa miguu? je nao watalipia?
naomba utoe ufafanuzi zaidi kama kuna kipengele kwenye mkataba unawasi wasi nachosuala ni muda tu,hop tutakutana hapa,usije kubadili ID hapa,
Serikali ilikuwa haina pesa za kufanya huu mradi na dunia ya leo serikali inaacha idara zingine zifanye miradi kama hii wao kazi yao ni kuregulate tuu
uzuri ni kuwa mradi kama huu haufanywi na mtu mmoja peke yake NSSF badi unafanywa na watu wengi tena kwa kushirikisha wanachama wa NSSF
Bado tuko ndani ya mjadala:focus:
Mwezi ujaoUtekelezaji unaanza lini?
Sijakuelewa unamzungumzia na naniHuyu kaunda suto tumeambiwa ndiye mbunge mtarajiwa
je kuna ukweli kwenye hili?
naomba utoe ufafanuzi zaidi kama kuna kipengele kwenye mkataba unawasi wasi nacho
So far kutakuwa na provision kadhaa wa kadhaalina sehemu ya watembea kwa miguu? je nao watalipia?
NiPM nikuuziewacha tuwahi viwanja huko,au Bush keshanunua vyote??
Hapana kaka ila mkurugenzi wa NSSF Dr Dau amekuwa kama whipping boy wa wana JF kuliko wakurugenzi wa mashirika mengine kama PPF au TRA na BOT ambako ufanisi na ufisadi umeshika hatamuKwani lazima mkuu! Una hamu sana na munkari wa kufanya PR nini! Tulia mjomba. Nway it is gud for the dream to come true. Itaondoa kabisa huu ubabe wa akina Magufuli kuwatoza watu na mjadala mzima unaoendelea sasa!
Au mtatawatoza kama alivyowaambia watu "Mnafikiri hata daraja likijengwa hamtalipa hela, mtalipa?"
Si kweli kuwa miradi mingi ya NSSF inafanywa na CRJEKwa nini moradi mingi ya NSSF inafanywa na hii kampuni ya CRJE?
Je ma sub contractor watakuwa wazalendo au kila kitu mchina?
Je ma sub contractor wazalendo ni wepi?
Site mnaingia lini rasmi?
Naomba unitumie PM ili nilishughulikie suala lako ipasavyo
Kwa maelezo yako inaonekana unajiamini kuwa unajua sana decision making process ya NSSF na unao ushahidi kuwa members hawajawakilishwaAcha uongo!
Mimi ni mwanachama na hamjanishirikisha.
Hivi nyie, hizo pesa mnadhani ni zenu kiasi kwamba mnaamua kuzifanyia shughuli yoyote mnayotaka?
Vipi kuhusu fedha hizo kurudi moja kwa moja kwa wanachama kwa njia ya mikopo? Wanachama tayari wanayo security/bond (mi sio mtaalam wa mambo ya fedha lkn nina hakika umenielewa) kwa hiyo hawa ndio walistahili kipaumbele katika kufaidi mabilioni wanayochanga kila mwezi.
Kuna wakati niliwahi kuongea na Bw. Crescentius Magori na alinipa mkakati kuwa mojawapo ya products mlizoziandaa kwa wanachama ni mikopo (makarabrasha ninayo). Sasa yapata miaka mi5 hakuna hata dalili za mwanzo za utekelezaji wa kauli hiyo. Nimekuwa nikifuatilia hii kitu kwa karibu sana kwenye matawi yenu lakini sijawahi kupata majawabu sahihi. Badala yake tunashuhudiafedha hizo zikitiririka kuelekea maeneo ambayo hayamfaidishi mwanachama moja kwa moja (kama mtu mmoja mmoja).
sasa bila ushaidi tutaweza kujadili nini?suala la mkataba ni kwamba cjauona,ila sasa hata hiyo ambayo hatujaiona inaonesha ina kasoro!
sijaipokea kakatayari mdau
Kwa maelezo yako inaonekana unajiamini kuwa unajua sana decision making process ya NSSF na unao ushahidi kuwa members hawajawakilishwa
naomba unipe ushaidi kuback up argument yako
jamani hili daraja liko kwenye mpango mzima wa mji mpya wa kigamboni tatizo hapa natumia siwezi kuweka link ya documentary kutoka you tube inaitwa 'the blue diamond of kigamboni' ambapo marekani ndo iko nyuma na mpango huu hapa hamna cha NSSF kutoa hela yake bali atakuwa refunded na serikali haiwezi kusema ukweli