Wana JF
Unlike mifuko mingine ya pensheni na idara zingine za serikali
NSSF chini ya uongozi wa Dr Dau ulitoa ahadi kuwa watajenga daraja na leo hii mkataba umesainiwa.
kazi itafanywa na China Railway Jiangchan Engineering (CRJE) na Major Bridge Engineering
Sasa kila mwenye swali kuhusu huu mradi alilete na atajibiwa ipasavyo
Rekebisha hiyo heading yako ukiisoma vizuri utaona wapi umekosea
Unlike PPF na mashirika mengine ya serikaliSisi tunataka kuona daraja kwani sas ni zaidi ya miaka mitano mnapiga porojo tu, Kusaini mkataba si kuanza kwa ujenzi.....
Kinachotakiwa hapa ni daraja tu...
Je huo mkataba na jamaa mmeusoma au mnatia tu sahihi?
Of course kitalipiwa kama unavyoona hapo juu kwenye Dartford bridge London
Ndio maana nikasema litajengwa Kurasini creekNikiangalia hili daraja kimsingi haliwezi kujengwa pale feri zinapovukia pantoni maana liko fixed na there is no way likawa na headroom kwa ajili ya kupitisha meli! Likijengwa itakuwa ni good start, hopefully itakuwa ni kurasini ambapo hata sea span itakuwa shorter ukilinganisha na pale feri!
Unlike PPF na mashirika mengine ya serikali
mkataba umepitiwa na wanasheria wote wameridhika nao
Cost benefit analysis ilifanyika na faida ni kubwa kwa wananchi kuliko hasarasasa mdau hili darasa ni ukomboz kwa walalahoi?au ndo litakua kwa ajili ya wakaz wa kigambon mpya
Lakini huu si mkataba wa Richmond,IPTL, Mkataba wa madini na ile ya pensio funda kama PPF etcbwana mkubwa,mbona unatuaminisha kuwa mkataba hauna utata umepitiwa na wanasheria,wakat tunajua mikataba yote hupitiwa na wanasheria na mwisho huwa ni mzozo
refer Richmond,IPTL,MIKATABA YA MADINI N.K
Wana JF
Unlike mifuko mingine ya pensheni na idara zingine za serikali
NSSF chini ya uongozi wa Dr Dau ulitoa ahadi kuwa watajenga daraja na leo hii mkataba umesainiwa.
kazi itafanywa na China Railway Jiangchan Engineering (CRJE) na Major Bridge Engineering
Sasa kila mwenye swali kuhusu huu mradi alilete na atajibiwa ipasavyo
sasa hilo duara hapo kwenye darafja ni la nini?au ni mbwembwe na kuongeza gharama
What is the total cost of this project?
Lakini huu si mkataba wa Richmond,IPTL, Mkataba wa madini na ile ya pensio funda kama PPF etc
Nakuhakikishia huu mkataba umetulia na hakuna atakayelose kitu ni win win situation kwa wote
Tunajitahidi sana kuwasikiliza wanachema wetuIla NSSF mkubuke kuweka na interests kwenye hela zetu ambazo kila leo mnazizungusha uku na kule