Niko mpwapwa wiki ya tatu sasa wana mpwapwa wame kosa mbunge wamekosa madiwani supavu wame kosa sauti na tamani kigaila uje kuwa komboa kama maiki yao msemaji wao wana sema nikufikiishie kilio chao na vijana wengi asubuhi ya leo wana taka mpwapwa siku moja iwe kama arusha kigaila kama una pita uku chukua ujumbe huu ufanyie kazi wape majibu wana mpwapwa naondoka mpwapwa lakini nitarudi kwani mpwapwa ina matatizo mengi na wame niambia kigaila ndio dawa