Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Naibu katibu mkuu wa CHAUMMA Benson Kigaila amefafanua wanaohoji kuhusu ukubwa wa mkutano wa kuwakaribisha wanachama wapya wa CHAUMMA ambao umefanyika kwa ukubwa na wadau wengi wamepata wasiwasi chama hicho kimepata wapi fedha hizo. Kigaila anasema wadau waliokuwa wamewaamini wakiwa CHADEMA ndio waliowasaidia wakiwa CHAUMMA.
Pia soma Pre GE2025 - ARU - CCM Arusha yapinga madai ya kuifadhili CHAUMMA
Pia soma Pre GE2025 - ARU - CCM Arusha yapinga madai ya kuifadhili CHAUMMA