tzhosts
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 380
- 468
Je, wewe ni mmiliki wa kampuni ya kibiashara ndogo na ya kati?
Je, katika Biashara yako unatumia teknolojia mbalimbali au unahitaji kutumia teknolojia mbalimbali?Kama Jibu ni ndio basi wasiliana nasi leo ili tuone ni namna gani tunaweza kufanya kazi pamoja.
TUnawaletea huduma ya vifurushi vya teknoljia ambavyo vinahusisha huduma mtambuka kama vile mawasiliano,tehama,mafunzo na usimamizi na usaidizi.Huduma hizi zinalenga kutatua changamoto za kiteknoljia mbazo zinaweza kuikabili biashara au kampuni yako hasa katika tasnia ya TEHAMA.Baadhi ya huduma zetu ni pamoja na:
- Huduma za utengeneza wa Tovuti(Website design and hosting)
- Huduma za Barua Pepe(Email Services
- Huduma za usimamizi wa Mitandao ya kijamii(Social Media Management)
- Mifumo ya usimamizi wa rasilimali za Biashara (ERP,CRM & Accounting Systems)
- Mifumo ya Biashara mtando(E-commerce Systems)
- Huduma za Bulk SMS Advertising
- Huduma ya utangazaji wa biashara mtandaoni(Paid Online Ads)
Kwa mawasiliano zaidi tupigie au whatsap 0757323060 au Email: sales@tzhosts.com
Karibu Sana