Apumzike mzee wetu Rais Mstaafu awamu ya 2.
Kifo ni somo kubwa sana kwetu sisi tulio hai kuwa ipo siku nasisi tutakufa, hakuna atakaye ishi milele.
Haswa kwa viongozi wote mliopewa dhamana katika nafasi mbalimbali timizeni wajibu wenu kwa haki.
Tuishi kwa kupendana, tusioneane. R.I.P Mzee Ruksa.
Kifo ni somo kubwa sana kwetu sisi tulio hai kuwa ipo siku nasisi tutakufa, hakuna atakaye ishi milele.
Haswa kwa viongozi wote mliopewa dhamana katika nafasi mbalimbali timizeni wajibu wenu kwa haki.
Tuishi kwa kupendana, tusioneane. R.I.P Mzee Ruksa.