Kifo cha Lowassa kisiasa kiko mbali sana

Kifo cha Lowassa kisiasa kiko mbali sana

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Amepigwa vita sana na hata aliowaamini na kula nao kama marafiki na wandani lakini kumbe they were "friends in need".

Ndiye mwanasiasa aliyepigwa vita sana tena vikali na kwa muda mrefu zaidi Tanzania, but the guy is as fit as feedle!

Ameandikwa sana kwa mabaya kwa hisia na chuki zilizoishibisha mioyo ya wanafiki, wazushi na wazandiki miongoni watawala wa taifa hili na familia zao.

Amesalitiwa sana na hata aliowakuza, kuwatetea na kuwalea mikononi mwake lakini hana kisasi! .

Amezushiwa kufa lakini naamini atahudhuria mazishi yao kwanza!

LOWASSA IS A BRONZE SNAKE!
 
kituko ni pale mgonjwa wa siku zote na anafahamika anaposema hakumpa kura lowasa kisa ni mgonjwa atakufa mapema
 
Nimeogopa mtu kuwa jasiri wa kutamka neno gumu vile duuh
 
Uloi nga mâché68;14891696 said:
Lowassa tulishamsahau kitambo sana! Kwani Ana wadhifa gani Huko CHADEMA Siku hizi?

Ni mmiliki wa chama...na risiti zipo
 
Kweli, Lowassa is the rock in politics. Uchaguz wa Mwaka huu tumevuka kwa Amani kwa sababu ya hekima na busara zake. wengi walitabiri tungekuww na vita. Na kwa hakika angesimama Dr. Slaa kwa Ukawa alivyo na visasi nchi ingeingia kwnye machafuko.
 
chadema ndio waliompinga na kututangazua kwamba fisadi pale mwembe yanga.

Na kubenea ndiye aliyemwandika kama fiasdi no 1 lkn leo wapo naye.

Waache wale matapishi yao sisi lowasa atabaki kuwa fisadi
 
Pole sana mkuu kwa kuuza nyanya mbovu kamwe haitapata mteja.
 
Avumilie tu 2020 sio mbali, mabadilikooo.....
 
Isingekuwa lowassa

1. Membe angekuwa Rais
2. Tibaijuka angekuwa Waziri kamili
3. Bandari ingeendelea na uozo kama kawaida, Membe hana. meno ya kufanya hayo
4. Bulembo angepewa ukuu wa mkoa
5. TRA na PCCP zisingeguswa hata kidogo
6. Kikwete Angeendelea kuwa Rais kwa Mgongo wa Membe
7. Sherehe za uhuru zingekuwepo kama kawaida na tungeona vifaru na majeshiii..

Yote haya bila upinzani kamili yangetokea, Serikali sasa imeshtuka kwamba wanawatumikia watu na sio matumbo yao.


Asante Lowassa
 
Bila lowasa kuleta mshikeli pale dodoma kukamata hela za membe magufuli asingekuwa raisi.Raisi angekuwa Membe na bandarini wangeendelea kupiga bingo na ridhiwani angekuwa waziri wa fedha.jk mshauri wa raisi
 
Bila lowasa kuleta mshikeli pale dodoma kukamata hela za membe magufuli asingekuwa raisi.Raisi angekuwa Membe na bandarini wangeendelea kupiga bingo na ridhiwani angekuwa waziri wa fedha.jk mshauri wa raisi

Haswaa mkuu Sagai. Ndo maana wanadiplomasia hawataacha kumkumbuka baba Lowassa kwa mchango wake mkuu, N aikumbukwe upinzani usingekua juu ulipo kama si mchango wake pia. Lowassa is a biggest hero of all the time.
 
Kuna watu wanaona karibu hawajui team lowasa ndo ilimwibua magufuli huko ccm.Na ndo maana magufuli anawashughulikia team jk huko ccm.Hata wakati wa campan magufuli alikuwa anatumia salam za ukawa kwa nguvu aliyokuwa akikumbana nayo.Na hata magufuli nae anajua bila nguvu ya lowasa raisi angekuwa membe
 
Back
Top Bottom