Kifo cha Lowassa kisiasa kiko mbali sana

Kifo cha Lowassa kisiasa kiko mbali sana

chadema ndio waliompinga na kututangazua kwamba fisadi pale mwembe yanga.

Na kubenea ndiye aliyemwandika kama fiasdi no 1 lkn leo wapo naye.

Waache wale matapishi yao sisi lowasa atabaki kuwa fisadi


Mawazo yako yanaongozwa na falsafa ya UPEPO aisee, maana upepo ukwa na harufu ya ushuzi bado ni upepo tu ndugu, ukijichanganya na harufu ya manukato bado jina halibadiliki, ni upeeepo tu, ukiwa na harufu ya moshi!! ni upeeepo tu bana. ILA KUMBUKA binadamu hatukuumbwa hivyo. Tabia zetu zinabadilika badilika ndo maana leo mwema kesho mmbaya, leo Mkatoliki kesho Muislamu, laeo mlokole kesho mpagani. Sasa kama wewe utashikilia tabia zile TULIZOZIACHA MISRI, ZILE ZA WAKATI ULEEEEEEEE WA FARAO. Leo hatuko nazo tena huku Kanaani ndugu. Lowassa lao ndo kiongozi wetu mkuu piga ua garagaza, yuko ukawa na si Lowassa yule aliyekuwa ccm, Labda unamfananisha kwa siasa yako yenye mrengo.
 
Isingekuwa lowassa

1. Membe angekuwa Rais
2. Tibaijuka angekuwa Waziri kamili
3. Bandari ingeendelea na uozo kama kawaida, Membe hana. meno ya kufanya hayo
4. Bulembo angepewa ukuu wa mkoa
5. TRA na PCCP zisingeguswa hata kidogo
6. Kikwete Angeendelea kuwa Rais kwa Mgongo wa Membe
7. Sherehe za uhuru zingekuwepo kama kawaida na tungeona vifaru na majeshiii..

Yote haya bila upinzani kamili yangetokea, Serikali sasa imeshtuka kwamba wanawatumikia watu na sio matumbo yao.


Asante Lowassa
bora unaeliona hilo wengine ni maiti alizosema kinyata
 
Nimeogopa mtu kuwa jasiri wa kutamka neno gumu vile duuh

Mi nadhani ni uoga wako tu Jambilo, nchi hii inataka watu wanaoweza kuthubutu kusema maneno magumu ila kuwapa wengine fursa ya kusema ya moyoni na si kukaa nayo hadi kufa na tai shingoni. Neno zuri zana hilo maana ni kweli tupu iogopwayo kutamkwa ila ukweli utatuweka huru daima.
 
Umesahau pia anammiliki na mamayako mzazi.....pia risiti tunazo!!!!
 
Kuna watu wanaona karibu hawajui team lowasa ndo ilimwibua magufuli huko ccm.Na ndo maana magufuli anawashughulikia team jk huko ccm.Hata wakati wa campan magufuli alikuwa anatumia salam za ukawa kwa nguvu aliyokuwa akikumbana nayo.Na hata magufuli nae anajua bila nguvu ya lowasa raisi angekuwa membe

Ahaa kwa hy ccm walimpa nafasi magufuli wakijua lowasa atakwenda ukawa?....nyumbu bwana,wanabadilika ka taa za barabarani
 
Hii kweli ni shida kunielewa soma tena utaelewa au na we unatatizo kama la diwani mmoja wa huko geita?
 
Atasalitiwa sana lakini ATASIMAMA. Kuna mtu katoa hoja nzito sana, kwa tunaomfahamu Dr. bila shaka saa hizi hali ingekuwa siyo hali!!
 
Tumuombee asife kabisa kisiasa abaki tu ajionee na kupima alivoku ccm na hapo alipo
 
Amepigwa vita sana na hata aliowaamini na kula nao kama marafiki na wandani lakini kumbe they were "friends in need".

Ndiye mwanasiasa aliyepigwa vita sana tena vikali na kwa muda mrefu zaidi Tanzania, but the guy is as fit as feedle!

Ameandikwa sana kwa mabaya kwa hisia na chuki zilizoishibisha mioyo ya wanafiki, wazushi na wazandiki miongoni watawala wa taifa hili na familia zao.

Amesalitiwa sana na hata aliowakuza, kuwatetea na kuwalea mikononi mwake lakini hana kisasi! .

Amezushiwa kufa lakini naamini atahudhuria mazishi yao kwanza!

LOWASSA IS A BRONZE SNAKE!

ee Mungu Mwache mtu mbaya ili aje aone hasara ya unyang'anyi wake.
 
Back
Top Bottom