Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

Pamoja na kumtumia hela ya Bando kama alivyosema Mtunzi, lakini naona Leo ni Siku ya pili hajaweka muendelezo wa hadithi yake.

Kama bando ni changamoto, useme tukuunge Kifurushi cha Mwezi Mzima

Haipendezi kutusubirisha Wazee wenye umri Mkubwa kama sisi.

Yaani Kiko(Tumbaku) zitupe arosto, hadi hadithi yako pia 🙌

Tukichukia tunakuwa zaidi ya Mzee Mangeu Ujue 😜
 
Wana jf kwa anaefahamu tiba ya ugonjwa wa apendix anisaidie kabla cjafanyiwa upasuaji na maombi yenu na mchango wa chochote ni muhimu kwangu. Msishangae kila mda nko online n shida tu ndugu zangu na nyie ndo mnanifanya nachangamka kila mda. DAUDI na wengne wote bila kumsahau muanzisha uzi japo amekua kimya
 
Wana jf kwa anaefahamu tiba ya ugonjwa wa apendix anisaidie kabla cjafanyiwa upasuaji na maombi yenu na mchango wa chochote ni muhimu kwangu. Msishangae kila mda nko online n shida tu ndugu zangu na nyie ndo mnanifanya nachangamka kila mda. DAUDI na wengne wote bila kumsahau muanzisha uzi japo amekua kimya
Duh pole Sana ndugu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom