Kifo cha Ghaddafi chamgusa Pinda

Imeandikwa wapi kuwa ukiwa "waziri mkuu huwezi kuibuka kwenye makanisani na kutoa opinion zako"? Halafu "kwenye makanisani" ndiyo nini?

Imeandikwa wapi kuwa ukiwa waziri mkuu basi "huruhusiwi kuwa na opinion in public"?

Na imeandikwa wapi kuwa "any publicly stated opinion ya Waziri Mkuu ni foreign policy ya nchi"? Imeandikwa kwenye katiba ya nchi?

Kwahiyo wewe unaamini kila kitu hadi kiandikwe

Imeandikwa wapi waziri mkuu kutoa opinion makanisani?
 
Huyu ni mmoja wa viongozi wa kuu wa nchi hii anayesema haya tena kanisani. Kwa nini hakujiuliza ni nini kilicho mfikisha hapo khadaffi? Anasemaje kuhusu wale waliouwawa na khadaffi tena kwa kuwalinganisha na panya, mende n.k, ilikuwa sawa kwake?

Anasemaje kuhusu uongozi na viongozi wa nchi hii wanaofanya ya kufanana na khadaffi, mbona hakukemea? hakuomba hekima ya Mungu akiwa kanisani kuwa aongee nini? Bibilia ina tukataza tusiue na hiyo hiyo inasema anayeua kwa upanga atauwawa kwa upanga, analiongelea je hilo kuhusu yaliyo mpata Khadaffi, wanawe na wapambe wake?

Yeye upambe wake unamwambia vipi akijilinganisha na wapambe wa Khadaffi? Watapona?
 
He is the House Negro whatever he saw the Master threatened he get sick...really sick! but we are the Field Negro whatever we see the Master is in trouble we so happy! the truth he is weeping for his own sake and his Master. THEY CAN SEE BUT THEY TURNED TO BE HEARING IMPAIRED...they can't HEAR our voices of cry.
 
...Imeandikwa kwenye katiba ya nchi?
That's government protocol 101, not the Constitution. Katiba ni muhtasari wa national policy, structure and law, si kila kitu kinaandikwa kwenya Katiba!

Executives of government are national spokespeople of the country, they can not detach their "opinion" from policy stance of the state. Viongozi wanatoa miongozo, kila kiongozi akitoa opinion yake kivyake kuhusu jambo lile lile ambalo mwenzake keshalizungumzia ujumbe utakaotumwa kwa jamii utakuwa ni chaos.

Kwa nini? Kwa sababu opinion ni kama makalio, kila mtu ana ya kwake. While Serikali ina sauti moja. Pinda asingetakiwa ku supplant alichosema Foreign minister Membe.
 
aliona pa kuongelea ni kanisani tu ati,
hao hao wanasema tunaingiza dini kwenye siasa,
haya mkuu wewe unaingiza nini kwenye dini?
 
Pinda atwambie yeye akiwa TISS kwa ushushu wake waliuwa watanzania wangapi bila kuwafikisha mahakamni?
 
Pinda anamlilia Ghadafi!!!??? Huyu ni PM wetu. Hataki kuwalilia Watanzania waliokufa kwa kuuawa na Idd Amin akiungwa mkono na Ghadafi. Loooohhh!!! maskini askari wetu waliopoteza maisha. Damu yao ilipotea bure!

Viongozi wetu wanakumbuka hela za Ghadafi hawakumbuki damu ya raia na askari waliokufa vita ya Kagera. Walikufa ili Ghadafi atukuzwe na Taifa hili. Hata Idd Amin basi atukuzwe kwa kazi nzuri ya kuwaua Watanzania.

Hivi Pinda yale makaburi ya halaiki hakuyaona au hana taarifa. Hao waliofukiwa humo walikuwa panya? Kweli mwenye pesa sio mwenzio. Hata mafisadi wetu hapa hakuna haja ya kuwalaani maana wanayo pesa. Looohhh!
 
Back
Top Bottom