Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
bangi hatari sana,wakati analia ulikua pembeni yake unamfariji,mambo ya nyoso hayo.
nawasiwasi na IQ yako..
Wanaomtuhumu lowasa kuhusuka na kifo hiki mungu wasamehe bure hawajui watendalo. Ni dakika kama tano nilikuwa na mzee mmoja msomi kada wa ccm katamka eti lowasa anahusika nimemshangaa sana nikamwambia mungu akusamehe kwa hukumu iyo.
Heading yako na bandiko Mimi hoi.
Labda ni sehemu ya campaign
Mkuu napata picha either baba yako hakuwa responsible kwako au wewe hujielewi.Kifo cha Mbunge uliyemfahamu si zaidi ya miaka 6 uchungu wake uzidi baba yako aliyekuzaa na kukulea!!ukiwa mdogo baba akitoka unamuomba akirudi.akuletee peremende!!!.Ninachojua knacholeta uchungu ni unapokumbuka moments ukiwa na muhusika.Deo tulimpenda wote ila hisifikie.umkosee mtu aliyekutoa viunoni mwake.
filikunjombe kifo chake kimeniuma kulko alipokufa baba mzazi. ndo mwanasiasa pekee aliyekuwa ccm kimakosa.
filikunjombe kifo chake kimeniuma kulko alipokufa baba mzazi. ndo mwanasiasa pekee aliyekuwa ccm kimakosa.
Natamani TCRA na vyombo vingine vya uchunguzi wapitie hii comment yako!
Yaani nimesoma na kurudia mara nyingi bila mafanikio katika kuoanisha!!
Lakini Deo asingekufa mapema jamaniiiii bado alikuwa msaada kwa nchi na watu wake
basi kufa wewe ili deo arudi make haikuwa nafasi yake kufa bali ilikuwa nafasi yako
filikunjombe kifo chake kimeniuma kulko alipokufa baba mzazi. ndo mwanasiasa pekee aliyekuwa ccm kimakosa.
umekariri. fikiri nje ya box. fikiri zaid ya vile unavyokaririshwa iwe kwa elimu dunia au elimu ahera. jitahid kukusanya mazingira ya aina zote kabla hujahukum. usilazimishe wewe kuwa S.I. unit ya maisha na mahusianoHii inaonyesha ni kwa jinsi gani hujitambui na Hujui thanani ya baba pole sana na Mungu akusamehe.
Lowasa kalia wapi wewe??