MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,261
- 2,741
filikunjombe kifo chake kimeniuma kulko alipokufa baba mzazi. ndo mwanasiasa pekee aliyekuwa ccm kimakosa.
Mkuu napata picha either baba yako hakuwa responsible kwako au wewe hujielewi.Kifo cha Mbunge uliyemfahamu si zaidi ya miaka 6 uchungu wake uzidi baba yako aliyekuzaa na kukulea!!ukiwa mdogo baba akitoka unamuomba akirudi.akuletee peremende!!!.Ninachojua knacholeta uchungu ni unapokumbuka moments ukiwa na muhusika.Deo tulimpenda wote ila hisifikie.umkosee mtu aliyekutoa viunoni mwake.