kila nikiikumbuka escrow,alivyowakandamiza akina mhongo mle bungeni,,kweli malipo huwa ni hapa hapa duniani,,,rip
Mungu amlaze anapostahiki
She can't be serious!..Aisee?
filikunjombe kifo chake kimeniuma kulko alipokufa baba mzazi. ndo mwanasiasa pekee aliyekuwa ccm kimakosa.
kila nikiikumbuka escrow,alivyowakandamiza akina mhongo mle bungeni,,kweli malipo huwa ni hapa hapa duniani,,,rip
filikunjombe kifo chake kimeniuma kulko alipokufa baba mzazi. ndo mwanasiasa pekee aliyekuwa ccm kimakosa.
Mkuu napata picha either baba yako hakuwa responsible kwako au wewe hujielewi.Kifo cha Mbunge uliyemfahamu si zaidi ya miaka 6 uchungu wake uzidi baba yako aliyekuzaa na kukulea!!ukiwa mdogo baba akitoka unamuomba akirudi.akuletee peremende!!!.Ninachojua knacholeta uchungu ni unapokumbuka moments ukiwa na muhusika.Deo tulimpenda wote ila hisifikie.umkosee mtu aliyekutoa viunoni mwake.
kila nikiikumbuka escrow,alivyowakandamiza akina mhongo mle bungeni,,kweli malipo huwa ni hapa hapa duniani,,,rip
Deo Filukunjmbe alazwe mahala pema motoni, amewaharibu vijana wengi nguvu kazi ya taifa.
Lakni kwanini apande elcopter toka dsm kwenda iringa?
ukweli deo amefariki mengine ni ziada
Mkuu napata picha either baba yako hakuwa responsible kwako au wewe hujielewi.Kifo cha Mbunge uliyemfahamu si zaidi ya miaka 6 uchungu wake uzidi baba yako aliyekuzaa na kukulea!!ukiwa mdogo baba akitoka unamuomba akirudi.akuletee peremende!!!.Ninachojua knacholeta uchungu ni unapokumbuka moments ukiwa na muhusika.Deo tulimpenda wote ila hisifikie.umkosee mtu aliyekutoa viunoni mwake.
Ubaya hatuchagui nani afe nani abaki, hatuchagui