Hivi kwa mfano Marehemu muislamu alikopa kwa mtu mfano mkopo wa kulipa kidogo kidogo kwa mwezi kwa miaka 20 akiwa na kaduka kake kadogo akifa mfano mwezi wa kwanza wa Deni Hilo Deni atalipa Nani Kama Mali za Marehemu hazifikii hata asilimia moja ya deni?Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Dingilai alifeli sana kuoa uyo mtt
Kifo cha mengi kwa wanaume kinatupa somo kubwa sana hapakuwa na sababu za msingi mzee na pesa zake kwenda kufunga ndoa na kale kabint mzee na pesa zake kachapiwa mke...
Zile pacha mbili inasemekane sio wake....
By ze way Mwenye picha za Jacky akiwa mjamzito hebu hawekee hapa atutoe tongo tongo...
Kwa mfano ungekuwa ndiye mke wa Mengi alafu ndio kikatokea kifo chake unajua ungerithi asilimia ngapi ya mali kwa kutumia sheria za kiislamu? Hiyo raha usingeisema hapa zaidi ungekufa na shambulio la moyoUkiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Kwa hiyo unataka wote tuongozwe na sheria ya dini yako sio?Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Naomba unifafanulie hapo juu mama mkubwa sijakuelewa kabisa."Waswahili" wengi tunayajua hayo, soma post namba 16, labda wanaojifanya Waswahili lakini si Waswahili maana wengi utakuta lugha mama zao si Kiswahili halafu anajiona Mswahili, Kiswahili utakuta kaanza kukisikia anapoanza shule. Waswahili 100% ni Waislam na hayo yapo ndani ya Qur'an.
Ukoo wa Mengi na hata huyo mkewe mdogo si Waswahili. Kumbuka hilo.
Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Ulimuona alivyokua mkavu msibani? Ule. Body guard alijua una malipo manonoKama kweli Shimimana ni mke wa yule jamaa wa Pride basi hakuna haja ya uchunguzi
Wacha tutumie bundle zetu, hujui kuwa tunachangia uchumi?Ujinga ujinga na uongo...
Mzee aliumwa ...na alizidiwa sana siku za mwisho.
Fanyeni kazi.
...Una point kubwa hapo, Dada FF...Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
mmh zile pacha asee ni kopi kabisa TENA UKIMUANGALIA YULE REGINA NDIO UNADHANI AMEWAZAADingilai alifeli sana kuoa uyo mtt
Kifo cha mengi kwa wanaume kinatupa somo kubwa sana hapakuwa na sababu za msingi mzee na pesa zake kwenda kufunga ndoa na kale kabint mzee na pesa zake kachapiwa mke...
Zile pacha mbili inasemekane sio wake....
By ze way Mwenye picha za Jacky akiwa mjamzito hebu hawekee hapa atutoe tongo tongo...
Mage wa wapi?Kwani da'Mage anasemaje?
Uislam ni dini nzuri tu, tatizo ni pale mnapouchanganya na uarabu.Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.