nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,508
"Waswahili" wengi tunayajua hayo, soma post namba 16, labda wanaojifanya Waswahili lakini si Waswahili maana wengi utakuta lugha mama zao si Kiswahili halafu anajiona Mswahili, Kiswahili utakuta kaanza kukisikia anapoanza shule. Waswahili 100% ni Waislam na hayo yapo ndani ya Qur'an.
Ukoo wa Mengi na hata huyo mkewe mdogo si Waswahili. Kumbuka hilo.
WordUkiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Kwa hiyo unataka kumshauri mjane wa marehemu asilimu?Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Lisemwalo lipo....kama Jaq kafanya hayo madudu basi ni hatari....Ngoja Tusubiri Chahali wa Twitter atupe update na tukisubiri update ya Mange baada ya kufungulia.
People who like to talk about others have nothing to present about themselves
Uislam raha sana. Usome uuelewe.Kwa hiyo unataka kumshauri mjane wa marehemu asilimu?
Au unataka kusisiriza kwamba marehemu alitakiwa kusilimu kabla hajafa?
HahahahaaaMange kama ulianza kumsoma zamani kwenye u-turn blog yake utajua huwa hana cha kutulia bila kuwashwa kuongelea jambo. Kwa sasa anatumia akaunti zake feki.. haswa moja feki ndio anainogesha akiamua tangu mfungo uanze hadi kesho.
Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Hata pale airport wakati jeneza linatolewa kupelekwa kwenye gari Jacqueline alikuwa analia.oopsz bas moshi..mm kwa dar ndo nilipata nafas kufuatilia...bas Mungu anisamehe
Mkuu uislamu unafundisha kuoa watoto chini ya miaka 18 na kulelewa na majimama?Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.
Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.
Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.
Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Wanawake wenzako huko Iran na Saudi Arabia wanalia na kulia kwa manyanyaso ya uislamu dhidi yao hivi juzi waliruhusiwa kuendesha gari wakashangilia. Huko mwanamke anabakwa na bado anahukumiwa ameziniUislam raha sana. Usome uuelewe.
Wote tunatakiwa tujisalimishe kabla hatujafa, Kama hukujisalimisha kwa muumba ujisalimishe kwa nani?
Naona unachanganya mambo, onesha Uislam wapi umekataza mwanamke kuendesha gari.Wanawake wenzako huko Iran na Saudi Arabia wanalia na kulia kwa manyanyaso ya uislamu dhidi yao hivi juzi waliruhusiwa kuendesha gari wakashangilia. Huko mwanamke anabakwa na bado anahukumiwa amezini
Waswahili ni matokeo ya muunganiko wa tamaduni na mila za kiafrika na kiarabuWaswahili ni watu wa pwani...ambao lugha yao ni kiswahili... haijalishi ni wa dini gani..japokuwa wengi wao ni waislamu.
Saudi Arabia ndiyo dini na tamaduni ya uislamu ilianzia . Nchi za Saudi Arabia na Iran zinaendeshwa kwa sheria za kiislamu. nawasifu wanawake wengi wa kiarabu kwa kutunza bikra ila upande wa pili ni bilaa na mshangaoNaona unachanganya mambo, onesha Uislam wapi umekataza mwanamke kuendesha gari.
Usichanganye mambo ya Saudi Arabia na Uislam.
Ni kama vile Vatikano 80% ni mashoga, ukristo ndiyo umefundisha wawe mashoga?
Si kweli, kuna ujinga aidha umejijazá mwenyewe au ulisoma shule za kukufundisha ujinga.Saudi Arabia ndiyo dini na tamaduni ya uislamu ilianzia . Nchi za Saudi Arabia na Iran zinaendeshwa kwa sheria za kiislamu. nawasifu wanawake wengi wa kiarabu kwa kutunza bikra ila upande wa pili ni bilaa na mshangao
Mwambie alieleta huu udaku aufute maana bado mpo kwenye maombolezo, Sasa udaku wa nn wakati maombolezo hayajaishaKwa hiyo unataka wote tuongozwe na sheria ya dini yako sio?Bado tupo kwenye maombelezo ya kifo cha Mengi na Kule Sri Lanka.
Watu hawaangalii kiasi gani ulichorithi Bali wanaangalia ulichorithi ni haki yakoKwa mfano ungekuwa ndiye mke wa Mengi alafu ndio kikatokea kifo chake unajua ungerithi asilimia ngapi ya mali kwa kutumia sheria za kiislamu? Hiyo raha usingeisema hapa zaidi ungekufa na shambulio la moyo