Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,705
- 272,583
ccm wanaenda kufa vibaya mana wanakataliwa kila kukicha.wanalazimisha kukubalika kwa pesa.
Mtabaki kama fisi akiusubili mkono wa binaadamu uanguke wakati hauanguki kamwe. Na mwisho wa upinzani 2015 anaebisha aangalie tu
Sayuni toka cdm na cuf mpaka leo hii nani? Kaziongoza hizo ngo kama c hao yaani wapo kama mugabe vile na zimbabwe
Ni kweli alafu wanajifanya eti wanataka kuwakomboa watanzania kumbe wanataka kukomboa matumbo yao. Tia mguu ugombee uenyekiti au ukatibu sasa hivi utaitwa msaliti
Kikwete na magamba wenzake ni majanga
Nina imani kubwa kwamba wafanyakazi wengi hawatampa kura JK. Lakini pia nina wasiwasi kwamba waislamu wengi hawana msimamo, kwa kuwa wana kasumba za udini, hivyo wanaweza kumpigia JK kwa minajili ya udini. Au wanaweza kumpigia Lipumba. Kwa kufanya hivyo watapunguza kura za wapinzani (kwa kuwa zitagawanywa kati yao) wakati zile za wanachama wa CCM na wale asilimia 75 ambao ni fuata upepo, zinaweza kurudi kwa JK. Na hivyo kumpa ushindi.
Kuna haja ya kuharmonize uwepo wa kampeni safi zisizoingiza itikadi za kidini. Hili litatusaidia sana katika kuwa na uchuguzi huru na wa haki.
mkuu una moyo sana,miaka 15 ?ili awe delete kufanya nn nchi hii,mchakato huu wa katiba mpya ndiyo sanda ya kuizikia ccm,wewe acha waendelee kujifanya viziwiKadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.
Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)
2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.
3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)
4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)
5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )
6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)
7. Kununua wapinzani
8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)
9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)
10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.
CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
well said chief!uliona mbali sana ! Japo uliteleza kwenye siku rasmi ya kuanguka , ni hivi ccm itaanza kuanguka rasmi tarehe 5 mwezi huu .
mapovu yote haya ya nini kaka?Ni kweli alafu wanajifanya eti wanataka kuwakomboa watanzania kumbe wanataka kukomboa matumbo yao. Tia mguu ugombee uenyekiti au ukatibu sasa hivi utaitwa msaliti
mapovu yote haya ya nini kaka?
wewe una kisirani tu na umekata tamaa kaa kando acha wenye point za maana waongeeKadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.
Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)
2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.
3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)
4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)
5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )
6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)
7. Kununua wapinzani
8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)
9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)
10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.
CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
Karibu mkuu, sijakusoma siku nyingi nikadhania pengine ulikwenda kugombea ubunge Makongolosi!! Hata wakiongeza mishahara kinyemela wafanyakazi wengi wanaishi kwa dhiki na most likely hawatampa kura Jakaya!! Ushindi wake utakuwa wa wizi wa kura. He might ascend to the office but he will be illegitemate!!