Kifo cha CCM kimetimia


Mtaji wake ukiwa ni u.pu.mba.vu wa Watanzania
 
Chama ambacho viongozi wake hawaaminiani , mnakumbuka isue ya Mwakambe walivyotaka kumchuna ngozi aliponea chupuchupu maskin had natural colour ya ngozi yake imepotea.
 
Wana jf
Kwa mtazamo wa haraka haraka, nimefuatilia midahalo mawili juu ya mchakato wa katiba. Mdahalo ulioandaliwa na Rosemary Mwakitwange last weekend pale Serena hotel na mdahalo ulioandaliwa na chama cha wanasheria Tanganyika. Wakati midahlo hii ikiendelea utaona kabisa mihemuko na jazba za washiriki juu ya chama tawala. Hata pale washiriki toka chama tawala wanapopata nafasi ya kuzungumza hujikuta kwenye wakati mgumu. Tulimshuhudia mh. Wasira akipata wakati mgumu kila alipojaribu kujibu au kutetea hoja, leo pia tumeshudia baadhi ya wawakilishi wa ccm wakipata wakati mgumu. Hizi ni dalili mbaya kwa watawala, ni vyema sasa wakasoma alama za nyakati waache kufanya shingo zao ngumu.
 
Its a matter of time CCM itakuwa chini coz wengi wanafuata mkumbo hawana maamuzi kabisa
 
Umechelewa kujua mkuu,naionea huruma misukule ya lumumba,itakula wapi?
 
Nakuunga mkono 100%. Mimi nilikuwepo kwenye mdahalo wa leo pale Blue Pearl Ubungo kimsingi hali ilikuwa tete sana kwa wanaccm. Nilichoshuhudia ni kwamba the majority ya waliohudhuria hawakutaka kbs kusikia chochote kinachojadiriwa nje ya Rasimu ya pili (maoni ya wananchi) yaani km vile serikali mbili. Ndiyo maana wanaccm wengI waliposoma upepo huo waliamua kuficha utambulisho wao pamoja na kutochangia kbs.
 

Wamewatukana watumishi wa Mungu!! Ask. Kakobe akatamka laana.Pole yao!!
 
Maombi yangu mie 2015 kiwe chama kikuu cha upinzani tu ili nacho kije kiunde ukawa na vyama vya kina cheyo na mrema
 
Mabadiliko hakuna wakuyazuia mwishoni mwa mwaka huu ndiyo wengi wataikana tena kwakulaani kama Petro usiku ule wa kukamatwa Yesu......
 
Kweli nimeamini kuwa baadhi ya wanajamvi uelewa wao upo mbali sana. Sababu hivi kweli kuna chama kinaitwa au kitaitwa UKAWA. Na kama kitakuwepo nani? Atakubali chama chake kisiingie ikulu lipumba atakubaliwa na chama chake asiwe mgombea wa nafasi ya uraisi. Labda Nccr maana ndiyo wale wale. Ni uongozi wa chama gani uliokaaa na wanachama wake wakaidhinishwa kujiunga pamoja kwa hivyo vyama.
 
Hii nchi itanuka sio muda wenye pesa ngoja tukimbie mapemaaa!!! mi sipo kokote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…