Sure hawa watu hawahitaji huruma ya wananchi kabisa, binafsi nawaombeaga hata kifo cha Ghafla kabisa, tumechoka!Saaizi wanategemea huruma za mahakama na policcm tu basi na watz wachache ma...bwe...ge
alaaah kumbe nimeingia kwenye thread ya kisiasa, BASI NITARUDI BAADAYE NIONE MTAKAVYOKUWA MMEPAKANA MAV!.
Ccm iko kipindi cha lala salama
Migongano ya ndani kwa ndani
uchaguzi mkuu kiti cha urais 2015
hatima ya muungano
Katiba mpya katiba ya Zanzibar na katiba ya muungano
Urais wa zamu
kushindwa kutekeleza ahadi
Ufisadi
kulindana
mparaganyiko wa system
Kila baya kuhusishwa na ccm
undumilakuwili ,uchoyo ulozi na ukuwadi
rushwa kila mahali
kushindwa kukemea kwa haki na kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa
Ongezeko kubwa na la kasi la kuchukiwa na wananchi
Kama mimi niliichukia ccm tangu1984 je ni wangapi mpaka leo hii wameungana nami katika kuichukia ?hakika anguko kuu linakuja na ccm itabaki kwenye makabati ya kumbukumbu kama kanu
CCM ilikuwepo,ipo na itakuwepo karne na karne miiingi sana zijazo
Don judge a village from bottom ....!1.chopa tatu kata tatu
2.kipigo cha kalenga
3.kifinyo chalinze
Sure hawa watu hawahitaji huruma ya wananchi kabisa, binafsi nawaombeaga hata kifo cha Ghafla kabisa, tumechoka!
View attachment 147381
BONGE ya NYOMIIIIIIII MSIGWA AKIHUTUBIA WANANCHI KATIKA KAMPENI ZAN UBUNGE CHALINZE
hayati chagadema (R.I.P)
hayati chagadema (R.I.P)