Kifo cha CCM kimetimia

Saaizi wanategemea huruma za mahakama na policcm tu basi na watz wachache ma...bwe...ge
 
UKo sawa mkuu. Sina kumbukumbu nimeanzA kuichukia lini lakini zamani sana
 
Saaizi wanategemea huruma za mahakama na policcm tu basi na watz wachache ma...bwe...ge
Sure hawa watu hawahitaji huruma ya wananchi kabisa, binafsi nawaombeaga hata kifo cha Ghafla kabisa, tumechoka!
 
alaaah kumbe nimeingia kwenye thread ya kisiasa, BASI NITARUDI BAADAYE NIONE MTAKAVYOKUWA MMEPAKANA MAV!.
 
chama hiki kilishazeeka na kufa kitambo,kimebaki kulindwa na dola+mfumo mbovu wa uchaguzi tu! kwa sasa dola inaparaganyika na tutegemee mazishi yake hivi karibuni,hakiwezi kudharau maoni na mawazo ya wananchi then kikabaki salama,hata wanachama wake wa ngazi za chini tofauti na hii misukule ya buk 7 wamechoshwa na mwenendo kinachouonesha wa kuwadharau na kufikiri kwa niaba yao! kwa hili suala la katiba mpya ccm itakufa kifo cha mende! Sauti ya wengi ndiyo sauti ya Mungu!
 


BONGE ya NYOMIIIIIIII MSIGWA AKIHUTUBIA WANANCHI KATIKA KAMPENI ZAN UBUNGE CHALINZE
 

1.chopa tatu kata tatu
2.kipigo cha kalenga
3.kifinyo chalinze
 
Sure hawa watu hawahitaji huruma ya wananchi kabisa, binafsi nawaombeaga hata kifo cha Ghafla kabisa, tumechoka!

wamwagie tindikali au walishe sumu kama kawaida yenu ......(wasiliana na henry kileo katibu wa chadema mkoa wa kinondoni akupe tindikali na lwakatare, mkurugenzi wa ulinzi na usalama chadema taifa akupe sumu)
 
wamwagie tindikali au walishe sumu kama kawaida yenu ......(wasiliana na henry kileo katibu wa chadema mkoa wa kinondoni akupe tindikali na lwakatare, mkurugenzi wa ulinzi na usalama chadema taifa akupe sumu)

Pity ..!huu ndio mwisho wako wa kufikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…