Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
Hoja imeungwa mkono.
akili zA BAVICHA hizo
Nilibaki hoi nilipotonywa katika ujio wa mkubwa,uongozi wa mkoa na wilaya ulihaha kuhakikisha watu wanapiga nguo za kijani,wanachama mfu wakatuna wakidai hawawezi kuvaa kwani zinawaletea mgongano na jamii inayowazunguka.,Wakapigwa chapaa kulingana na uwezo wao,wako waliokomaa na kuvuta hadi kilo wengine nusu kilo,elfu ishirini,kumi,tano,ili mradi mbuzi ale urefu wa kamba yake ndo akavae gamba.,Kaazi,kwelikweli!!!