Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,360
CCM wameamua kuachana na siasa za Analogia kwasababu zimekuwa zikiwachelewesha katika kufikia malengo yao ya kukimaliza na kukifutilia mbali chama cha HADEMA.Sasa wameamua kuja na siasa za kidigitali zaidi hii ni kuwabambikizia wapinzani wao kesi zisizokuwa na Kichwa wala miguu.
Uhalifu wowote unaotokea sasa iwe ujambazi,uvamizi wa aina yeyote iwe utekaji nyara na utesaji,Mafuriko watu wa mabondeni ,machafuko kama yaliyotokea kule Lindi na Mtwara n.k CCM hawaumizi kichwa tena zaidi ya kusema ni CHADEMA ndiyo wahsika wa kuu.
Kwahiyo napenda kuwashauri CCM kuwa wayaongezee yafuatayo katika hayo ili wakifutilie mbali chama hiki kibaki historia tu:
1. Kesi ya EPA -wahusika CHADEMA
2.Utoroshwaji wa wanyama hai- CHADEMA
3.Kiwango cha Elimu kushuka, wanafunzi kufeli -CHADEMA
4.Rushwa na Mafisadi-CHADEMA
5.Tuhuma za Kagoda,Meremeta, ufisadi UDA-CHADEMA
6Ufisadi TRL -CHADEMA NK
Nadhani upinzani wajifunze kuishi na mama wakambo,,,,,,Unapokuwa unaangalia sehemu zenye upungufu tu nakusahau kuwa kunasehemu za mema o mazuri hayo ni mawazo ya kimasikin ,,,,, Kwa sababu utasahau kuendeleza mema na kukazania mabaya..Wabunge si wa CCM tu jamani hata CHADEMA situna waona wanatetea chama chao bunge baadala ya kuwa silisha malalamiko ya majimbo yao..Tufikie wakati tuwe tuna utanzania ,Kwa taafsiri nzuri heshima, hekima ,busara na mengi yenye manufaa.TUKIANZA KUTAJA WALIO FANYA SEREKALI SIYO MADOGO KAMA TUNAVYO YA KUZA.unapo nyosha kidole kwa mwenzako jua vitatu vinakurudia..
Naona umekosa usingizi ukaona ujifariji na post ili na wewe uonekane tu umeanzisha thread
Utawajua kwa matendo.Oooh washindwe kwa jina la cdm
Acha mafumbo, sema Tanzania kuna utawala wa ki***ni, unaficha nini wewe? Anzia kwenye list of shame, EPA, Twiga, Meno ya tembo, mikataba...uwiiiiiiiii, Mungu shuka uone dhuluma, bustani yako innajisiwa.....