Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,840
- 4,412
That is just an iceberg, the melting down of the huge snow is forthcoming with unpreventable wrath to devour the mastermind of the crooks' cartelNikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Niteseke nani Nini Sasa? Waliofariki ni CCM Sasa Chadema niteseke Nini? Acheni kutafuta faraja ya lazima!! Ibilisi wenu hawezi fufuka hata tufe wangapi.Nakuona jinsi unavyoteseka.
Jasusi wamemfanyaje tenaNikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Itakuwa si bure 😊Ww ndio Nchimbi mwenyewe nini sasa unajipigia promo?
Uzuri ni kwamba na nyie mtakiwa mmekufa maana si mnaona kifo ni adhabuNiteseke nani Nini Sasa? Waliofariki ni CCM Sasa Chadema niteseke Nini? Acheni kutafuta faraja ya lazima!! Ibilisi wenu hawezi fufuka hata tufe wangapi.
Labda kwenye jumbe zilizopelekwa ziliwekwa vitu vilivyopekecha mfumo wa hewa wa camiriusWale maaskofu walienda kumuona? Walituma wajumbe ama ujumbe tu kupitia media?
SawaNikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Ebhana huo ni mtazamo wako,sidhani kama kuna ukweli,japo naheshimu maoni yako,Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Kwa kifupi mama 2025 hawezi kupewa nchi kwa kweli.Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Inasemekana ndio alitakiwa kuwa PM ajae, Ila kipara anautaka kwa nguvu zote zile,.na wasipomuwahi kipara atawala sanaInasemekana Membe alitaka kugombea 2025 hivyo kawekwa pembeni, RIP Membe
Na Utashika kasi kuelekea 2025Uchambuzi uchwara umeanza
PM ajae ki vipi?PM lazima awe mbunge aliyeshinda kwenye jimbo lake.So Membe ilikuwa arudi kugombea ubunge tena?Inasemekana ndio alitakiwa kuwa PM ajae, Ila kipara anautaka kwa nguvu zote zile,.na wasipomuwahi kipara atawala sana
Tumuache apumzikePM ajae ki vipi?PM lazima awe mbunge aliyeshinda kwenye jimbo lake.So Membe ilikuwa arudi kugombea ubunge tena?
Mbaya zaidi yupo kuzimu anaungua kwenye ziwa la moto. Mimi Sina hizo chuki Wala Roho mbaya kwa binadamu wenzangu so jinsi navyojiweka naamini Mungu atanipeleka mbinguni. Hiyo ndio tofauti kubwa mtu akifa mwenye haki na akifa ibilisi kama JPM wenu.Uzuri ni kwamba na nyie mtakiwa mmekufa maana si mnaona kifo ni adhabu
Mambo ya ngoma drooooo
Chanjo inaweza kuwa sababu ya kuganda kwa damu mwilini na kupelekea "Pulmonary embolism"Acheni mis information.... Ni wapi wamesema blood clots zimesababishwa na chanjo?
Huwez kupata hizo report kama walivyofanya kwa JPM hata sasa wanafanya yale yale ya kufumbia macho uchunguzi wa afya ya marehemu kabla ya kifo.
Hivi ni vifo vyenye utata sana na huenda au basi....... Naishia hapahapa[emoji23]
Mkuu science haifanyi kazi hivyo, lazima u isolate control factors kama afya ya moyo ya mhusika, damu, uwepo wa magonjwa kama kisukari na figo etc. Ukiyaondoa hayo yote na Bado mtu anaganda damu ndio uta conclude ni chanjo.Chanjo inaweza kuwa sababu ya kuganda kwa damu mwilini na kupelekea "Pulmonary embolism"
Hata kama hakuna aliyesema chanzo ni chanjo, haituzuii kufikiria hivyo na kuondoa akilini uwezekano huo tukilinganisha na matokeo ya chanjo za COVID -19.