tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,385
- 28,393
- Thread starter
- #41
Mpangio mzima ni ccm
umesema kweli kabisa mkuu....CCM ndio waliosuka mpango mzima wa "KIFO" cha Balali. ngoja Lowassa aingie ikulu amsake Balali aje akajibu kesi inayomkabili. hatuwezi kukubali kuona hawa wezi wakiitafuna nchi tukiwa tumekaa kimya.