Kifo cha Balali ni Hekaya za Abunuasi!

Kifo cha Balali ni Hekaya za Abunuasi!

Hekaya za 'Kifo' cha aliyekuwa gavana wa BoT aliyeikimbia nchi kwa sababu ya kushiriki ufisadi wa EPA, bado zinaendelea kuvuma masikioni mwa watanzania. Na inaonekana watunzi wa HEKAYA hizi wamejipanga vizuri hadi kufikia hatua ya kugharamia utunzi mzima wa hekaya.

Hitimisho la hekaya hizi limeanza kutungwa na vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, ambapo mmoja wa watunzi hao amegharamiwa safari ya kwenda Marekani kupiga picha ya kaburi feki lililoandaliwa na kisha kuandikwa jina la DAUDI BALLALI na picha hizo zimekusudiwa kutumika kunogesha hadithi kwenye gazeti analoliandikia.

Ndugu zangu, watanzania wa wale sio wajinga kama watu wengi wanavyodhani. Uongo unaotungwa kwamba eti Balali hakutaka mwili wake uonekane kwa watu, ni hekaya ambazo kila mtanzania mwenye akili timamu hawezi kuzikubali. Hata mtoto wangu wa miaka 3 anayesoma chekechea atakataa uongo huo. Tukio zima la 'kifo' cha balali ni hadithi ya kusadikika. Kovu la EPA alilosababisha Balali haliwezi kufutika mioyoni mwa watanzania.
:yield:


Kikao kimekataa na watu wanaotaka urais CCM kuwa suala la ESCROW NI HATARI KWA MGOMBEA YOYOTE WA CCM AU LOWASA AU MEMBE HIVYO WAKASEME KAMA KANU ILIKUFA BASI NA CCM ITAKUFA

MAGAZETI HAYO YALIYOKUJA NA ISSUE YA BALALI KIPINDI HIKI YANALENGA KUPOTEZA HOJA ZA UKAWA NA KATIBA MPYA NA HOJA ZA UKAWA NA ESCROW

HIVI KARIBUNU UKAWA WALIJIVIKA VAZI MAALUMU LA KUSHGHULIKIA MAMBO HAYA YA ESCROW NA KATIBA MPYA

SUALA LA UKAWA NI DENGUE YA CCM


WAANDISHI WOTE WALIOTUMWA KWENYE ISSUE YA BALALI WAPO KWENYE MTANDAO WA URAIS WA MTU MMOJA
 
Kikao kimekataa na watu wanaotaka urais CCM kuwa suala la ESCROW NI HATARI KWA MGOMBEA YOYOTE WA CCM AU LOWASA AU MEMBE HIVYO WAKASEME KAMA KANU ILIKUFA BASI NA CCM ITAKUFA

MAGAZETI HAYO YALIYOKUJA NA ISSUE YA BALALI KIPINDI HIKI YANALENGA KUPOTEZA HOJA ZA UKAWA NA KATIBA MPYA NA HOJA ZA UKAWA NA ESCROW

HIVI KARIBUNU UKAWA WALIJIVIKA VAZI MAALUMU LA KUSHGHULIKIA MAMBO HAYA YA ESCROW NA KATIBA MPYA

SUALA LA UKAWA NI DENGUE YA CCM


WAANDISHI WOTE WALIOTUMWA KWENYE ISSUE YA BALALI WAPO KWENYE MTANDAO WA URAIS WA MTU MMOJA

kumbe inawezekana pia ikawa mbinu ya kuwasahaulisha watu issue ya ESCROW? kama ndivyo basi maCCM yanataka kuua ndege 2 kwa jiwe moja (ESCROW & Balali sagas).
 
Hekaya za 'Kifo' cha aliyekuwa gavana wa BoT aliyeikimbia nchi kwa sababu ya kushiriki ufisadi wa EPA, bado zinaendelea kuvuma masikioni mwa watanzania. Na inaonekana watunzi wa HEKAYA hizi wamejipanga vizuri hadi kufikia hatua ya kugharamia utunzi mzima wa hekaya.

Hitimisho la hekaya hizi limeanza kutungwa na vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, ambapo mmoja wa watunzi hao amegharamiwa safari ya kwenda Marekani kupiga picha ya kaburi feki lililoandaliwa na kisha kuandikwa jina la DAUDI BALLALI na picha hizo zimekusudiwa kutumika kunogesha hadithi kwenye gazeti analoliandikia.

Ndugu zangu, watanzania wa wale sio wajinga kama watu wengi wanavyodhani. Uongo unaotungwa kwamba eti Balali hakutaka mwili wake uonekane kwa watu, ni hekaya ambazo kila mtanzania mwenye akili timamu hawezi kuzikubali. Hata mtoto wangu wa miaka 3 anayesoma chekechea atakataa uongo huo. Tukio zima la 'kifo' cha balali ni hadithi ya kusadikika. Kovu la EPA alilosababisha Balali haliwezi kufutika mioyoni mwa watanzania.
:yield:
Kuna clip nimeisikia mtandaoni yenye sauti inayoonesha ni ya waziri wa mambo ya nje akisema Ballali aliugua kuanzia mwezi wa 4 hadi wa 6 mwaka 2008 lakini akafariki May 2008
 
Tumsubiri mr White akishinda uchaguzi amrudishe nchini kama alivyoahidi. Asiposhinda sijui nani atamleta mackini!
 
Hekaya za 'Kifo' cha aliyekuwa gavana wa BoT aliyeikimbia nchi kwa sababu ya kushiriki ufisadi wa EPA, bado zinaendelea kuvuma masikioni mwa watanzania. Na inaonekana watunzi wa HEKAYA hizi wamejipanga vizuri hadi kufikia hatua ya kugharamia utunzi mzima wa hekaya.

Hitimisho la hekaya hizi limeanza kutungwa na vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, ambapo mmoja wa watunzi hao amegharamiwa safari ya kwenda Marekani kupiga picha ya kaburi feki lililoandaliwa na kisha kuandikwa jina la DAUDI BALLALI na picha hizo zimekusudiwa kutumika kunogesha hadithi kwenye gazeti analoliandikia.

Ndugu zangu, watanzania wa wale sio wajinga kama watu wengi wanavyodhani. Uongo unaotungwa kwamba eti Balali hakutaka mwili wake uonekane kwa watu, ni hekaya ambazo kila mtanzania mwenye akili timamu hawezi kuzikubali. Hata mtoto wangu wa miaka 3 anayesoma chekechea atakataa uongo huo. Tukio zima la 'kifo' cha balali ni hadithi ya kusadikika. Kovu la EPA alilosababisha Balali haliwezi kufutika mioyoni mwa watanzania.
:yield:
daah...!
 
Inawezekana si unajua viongozi wetu wanaona wanawaongoza manyumbu ila one day one time they will regret God be with us "in God we trust"
 
Kuna clip nimeisikia mtandaoni yenye sauti inayoonesha ni ya waziri wa mambo ya nje akisema Ballali aliugua kuanzia mwezi wa 4 hadi wa 6 mwaka 2008 lakini akafariki May 2008

Hiyo nimeiweka kuwa yakuitia kwa cm yangu kwa muda wa siku 7 ili nitafakari kwa kina kuhusu alicho kiongea yy.na ile ya magufu nimeiweka kwa sms.
 
Hekaya za 'Kifo' cha aliyekuwa gavana wa BoT aliyeikimbia nchi kwa sababu ya kushiriki ufisadi wa EPA, bado zinaendelea kuvuma masikioni mwa watanzania. Na inaonekana watunzi wa HEKAYA hizi wamejipanga vizuri hadi kufikia hatua ya kugharamia utunzi mzima wa hekaya.

Hitimisho la hekaya hizi limeanza kutungwa na vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, ambapo mmoja wa watunzi hao amegharamiwa safari ya kwenda Marekani kupiga picha ya kaburi feki lililoandaliwa na kisha kuandikwa jina la DAUDI BALLALI na picha hizo zimekusudiwa kutumika kunogesha hadithi kwenye gazeti analoliandikia.

Ndugu zangu, watanzania wa wale sio wajinga kama watu wengi wanavyodhani. Uongo unaotungwa kwamba eti Balali hakutaka mwili wake uonekane kwa watu, ni hekaya ambazo kila mtanzania mwenye akili timamu hawezi kuzikubali. Hata mtoto wangu wa miaka 3 anayesoma chekechea atakataa uongo huo. Tukio zima la 'kifo' cha balali ni hadithi ya kusadikika. Kovu la EPA alilosababisha Balali haliwezi kufutika mioyoni mwa watanzania.
:yield:

1444923134372.jpg 1444923176373.jpg
 
Haha mkuu unakataa nini Bana wakati Membe kasema Balal alifariki May ila akafanyiwa operation June ,haki ya mama navumilia kua mtanzania
 
Hekaya za 'Kifo' cha aliyekuwa gavana wa BoT aliyeikimbia nchi kwa sababu ya kushiriki ufisadi wa EPA, bado zinaendelea kuvuma masikioni mwa watanzania. Na inaonekana watunzi wa HEKAYA hizi wamejipanga vizuri hadi kufikia hatua ya kugharamia utunzi mzima wa hekaya.

Hitimisho la hekaya hizi limeanza kutungwa na vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, ambapo mmoja wa watunzi hao amegharamiwa safari ya kwenda Marekani kupiga picha ya kaburi feki lililoandaliwa na kisha kuandikwa jina la DAUDI BALLALI na picha hizo zimekusudiwa kutumika kunogesha hadithi kwenye gazeti analoliandikia.

Ndugu zangu, watanzania wa wale sio wajinga kama watu wengi wanavyodhani. Uongo unaotungwa kwamba eti Balali hakutaka mwili wake uonekane kwa watu, ni hekaya ambazo kila mtanzania mwenye akili timamu hawezi kuzikubali. Hata mtoto wangu wa miaka 3 anayesoma chekechea atakataa uongo huo. Tukio zima la 'kifo' cha balali ni hadithi ya kusadikika. Kovu la EPA alilosababisha Balali haliwezi kufutika mioyoni mwa watanzania.
:yield:

1444969079349.jpg photoshoped
 
Kama kweli hajafa basi atakuwa kafanyiwa upasuaji na kumbadilisha sura, usikute yupo apa nchini anajia tu na sura bandia

Wala hajafanyiwa upasuaji wa sura,yuko kamili kabisa anaponda raha ughaibuni.Anatucheka Watz tulivyo mazuzu.
 
Kuna kipindi rais wa nchi hii aliambiwa asijidai eti kuna amani wakati anaongoza maiti, na kweli hii nchi ina maiti tupu, hakuna kuhoji, hakuna kudadisi ila ni kupamba na kulamba miguu ya watawala. Tuna taabu sana.

Jamii inayoumwa huchagua viongozi wanaoumwa.
 
Ktu ninachichuikia tz n walio juu kudharau walio chin na kuweka tabaka flan hv Tanzania cc tumechoka buana tubadlke
 
Elimu zetu ni za kukariri siyo kuelewa na kutafsiri ndy maana tunaburuzwa kama mbululaz
 
Mhhh LOWASA sasa amekua YESU amekuja kufufua wafu hv watanzania mmekua majuha enh!!
 
Back
Top Bottom