Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Makala ni nzuri,sema umekosea mwishoni kabisa uliposema kuwa alikufa alipokuwa amepanda Mv Bukoba AKIELEKEA Bukoba kuchukua malighafi ya kutengenezea bomu na hakufika, wakati ajali ilitokea wakati Mv Bukoba INATOKEA Bukoba ikielekea mwanza.