Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

balwani

Member
Joined
Jan 8, 2019
Posts
34
Reaction score
20
Kama unasumbuliwa na MBU na WADUDU wote wanaoruka nyumbani kwako suluhisho limepatikana.

* Ni kifaa kinachotumia umeme kidogo sana, unapokiwasha taa zinazowaka kwenye kifaa hicho huwavutia wadudu warukao na mwisho wa siku huzifuata, wanapozikaribia huvutwa na feni na kuuliwa.

* Epuka matumizi ya dawa ambayo ni sumu na tumia vitu visivyo na sumu.

* Napatikana DAR ES SALAAM, MBEZI MWISHO.

* BEI: TSHS 40,000 tu.

* Tuwasiliane: 0659-358599
IMG_20190518_210248.jpeg
IMG_20190518_210314.jpeg
IMG_20190518_210331.jpeg
 
Mkuu, ili mbu wasinifate si inabidi niipakatie au ninunue nyingi moja niiweke kichwani, miguuni na tumboni.
 
Kama unasumbuliwa na MBU na WADUDU wote wanaoruka nyumbani kwako suluhisho limepatikana.

* Ni kifaa kinachotumia umeme kidogo sana, unapokiwasha taa zinazowaka kwenye kifaa hicho huwavutia wadudu warukao na mwisho wa siku huzifuata, wanapozikaribia huvutwa na feni na kuuliwa.

* Epuka matumizi ya dawa ambayo ni sumu na tumia vitu visivyo na sumu.

* Napatikana DAR ES SALAAM, MBEZI MWISHO.

* BEI: TSHS 40,000 tu.

* Tuwasiliane: 0659-358599View attachment 1107963View attachment 1107964View attachment 1107966
Vip mkuu Cha kuulia nyoka kipo? [emoji6][emoji6][emoji6]
 
Hapana kiongozi, hakiishi muda wake, utatumia miaka na miaka, kama Ni dawa za kupulizia si umetumia zaidi ya 40,000 lakini hiki unanunua mara moja unatumia miaka yako yote.
Kinachofanya kiuzwe elf 40 ni nini. Mkuu yaan unataka upige faida kubwa kuliko kiwanda kilichotengeneza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom