Kinafukuza nzi mchana maana nzi Nina allergy naoKinatumia umeme hakichajiwi
Pessimists....device kama hizi hata mahospital makubwa yanatumia and they workHivi mnawajua mbu kweli? Sidhani kama kuna mbu atanaswa kwa trick ndogo kama hiyo, la sivyo malaria ingekuwa imeshapungua sana duniani.
Hiyo bei kubwa,weka bei ya awamu 5 mzee babaNi kweli kiongozi wala si uongo
Hiki kifaa kinaitwaje na kinafanyaje kazi?Ni kifaa kinachotumia umeme kidogo sana, unapokiwasha taa zinazowaka kwenye kifaa hicho huwavutia wadudu warukao na mwisho wa siku huzifuata, wanapozikaribia huvutwa na feni na kuuliwa.
Ni biashara tu. Device zingekuwa na ubora unaodaiwa watu wasingehangaika kufunga neti na kupuliza dawa. Navijua sana hivyo vifaa lakini huwa vinaua mbe wachache tu na wengine wanaendelea na tenda kama kawa.Pessimists....device kama hizi hata mahospital makubwa yanatumia and they work
AssumptionsNi biashara tu. Device zingekuwa na ubora unaodaiwa watu wasingehangaika kufunga neti na kupuliza dawa. Navijua sana hivyo vifaa lakini huwa vinaua mbe wachache tu na wengine wanaendelea na tenda kama kawa.
Hamna kitu kinachonkera kama watu wanaoharibu biashara za wenzio kisa tu waonekane wanajua....Umenena kiongozi
Ni biashara tu. Device zingekuwa na ubora unaodaiwa watu wasingehangaika kufunga neti na kupuliza dawa. Navijua sana hivyo vifaa lakini huwa vinaua mbe wachache tu na wengine wanaendelea na tenda kama kawa.
Sijakataa. Ni wale wachache wanaokuwa attracted na ule mwanga. Lakini pia kuna wengi kabisa ambao wanakwepa na kuuma binadamu.Kinaua MBU na unapokitumia asubuhi utakuta MBU wengi wamekufa unaenda kuwamwaga.
Nililuliza kutaka kujua kinawezaje kuua mbu, unaweka dawa ya kuwavuta waje kwenye hicho kifaa au? kwasababu mbu anataka damu, nini kitamfanya amuache mtu aende kwenye huo mtego?Kifaa cha kuulia MBU ndio jina lake na nimeelezea kinavyofanya kazi mkuu.
kwahiyo kinatengeneza juice ya mbu na wadudu wengine warukao au?Multipurpose, ukiwa free utakitumia kama blender