Kifaa kiipya kabisa in da jamii f..

Karibu,wewe kifaa kipya,haujachakachuliwa?

Bora wewe umeuliza....maana hiyo ''kifaa kiipya'' usijerukiwa hapa ukachakaa kabla ya muda wako wa kutumika...ar M or F? Maana jina na subject ni utata mtupu.

By the way karibu sana JF ''kifaa kiipya''
.
 
mkuu safari hii utagombea chadema au cuf?
karibu sana na majibu nayataka.mia
 
Nijuze jinsia yako tafadhali kama ni F nitume maombi, maana nami natafuta kifaa kipya kwa udi na uvumba
 
....huna muda wewe,ukirukaruka humu unachakaa fasta!!karibu jamvini
 
To b active in good things is a gift from God,i believe

..........I believe too,............karibu sana,...........................,to be a great thinker you have to think...............do you believe?..............karibu sana..............are you a great thinker? Would you wish to be so?........................mi ni mwenzetu niko hapa na pale,...................karibu sana wanywa kinywaji gani?................................
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…