Kifaa cha kutafsiri lugha

Kifaa cha kutafsiri lugha

bush crazy

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
773
Reaction score
1,087
poleni na majukumu wakuu! Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimekuwa nikiona viongozi wanchi na wengineo kwenye mikutano ya kimataifa wanatumia kitu kama earphone pindi mkutano ukiendelea nikaja kuambiwa kuwa vile ni vifaa vya kutafsiri lugha
sasa nina maswali kwa anae fahamu
A. kile kifaa huwa hakikosei kutafsiri?
B. kinauzwa shingapi? kama bei ni ndogo serikali iwanunulie walimu wote wa sekondari Tanzania ili tatizo la kingereza liishe
C. Mfumo gani ulitumika kuingiza lugha kwenye hivyo vifaa.
ahsanteni na karibuni kwa michango!
 
poleni na majukumu wakuu! Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimekuwa nikiona viongozi wanchi na wengineo kwenye mikutano ya kimataifa wanatumia kitu kama earphone pindi mkutano ukiendelea nikaja kuambiwa kuwa vile ni vifaa vya kutafsiri lugha
sasa nina maswali kwa anae fahamu
A. kile kifaa huwa hakikosei kutafsiri?
B. kinauzwa shingapi? kama bei ni ndogo serikali iwanunulie walimu wote wa sekondari Tanzania ili tatizo la kingereza liishe
C. Mfumo gani ulitumika kuingiza lugha kwenye hivyo vifaa.
ahsanteni na karibuni kwa michango!
ahsante!
 
poleni na majukumu wakuu! Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimekuwa nikiona viongozi wanchi na wengineo kwenye mikutano ya kimataifa wanatumia kitu kama earphone pindi mkutano ukiendelea nikaja kuambiwa kuwa vile ni vifaa vya kutafsiri lugha
sasa nina maswali kwa anae fahamu
A. kile kifaa huwa hakikosei kutafsiri?
B. kinauzwa shingapi? kama bei ni ndogo serikali iwanunulie walimu wote wa sekondari Tanzania ili tatizo la kingereza liishe
C. Mfumo gani ulitumika kuingiza lugha kwenye hivyo vifaa.
ahsanteni na karibuni kwa michango!
Siyo kweli kile kifaa kina uwezo wa kutranslate Chenyewe, na kina fanya kazi kwa Lugha wazo feed kwenye kifaa hicho. Sasa akiwa anatafsiri mtu, kama kuna watu watatu wasio elewe Lugha inayongewa alafu wakalimani watafsiri si itakua fojo.
 
Siyo kweli kile kifaa kina uwezo wa kutranslate Chenyewe, na kina fanya kazi kwa Lugha wazo feed kwenye kifaa hicho. Sasa akiwa anatafsiri mtu, kama kuna watu watatu wasio elewe Lugha inayongewa alafu wakalimani watafsiri si itakua fojo.
Ahsante mkuu kwa mchango!
 
Mbona umeishajibiwa, wanaotafsiri ni watu, zile ni headphones tu za kusikilizia.
 
Siyo kweli kile kifaa kina uwezo wa kutranslate Chenyewe, na kina fanya kazi kwa Lugha wazo feed kwenye kifaa hicho. Sasa akiwa anatafsiri mtu, kama kuna watu watatu wasio elewe Lugha inayongewa alafu wakalimani watafsiri si itakua fojo.
Acha kubisha busha vitu usivyo vijua, natumia free basics nashindwa kuattach picha Tena ya juzi mkutano wa sadc nikuonyeshe, acha ujuaji!
 
Kile siyo kifaa ni watu/mtu anatafsiri then Kila mtu anatune "channel" ya lugha yake. Zile headphone Zina option ya kuselect lugha ambayo we utaielewa.
Nasisitiza no watu ambao wanakuwa kwenye chamber/room c kifaa.
 
Kama mkutano una watu wanaozungumza lugha 5 (kwa mfano) wanakuwepo pia watu watano kwenye chumba maalumu ambao unakuta labda chanel namba 1 kireno, ch namba 2 kichina, ch namba 3 kirusi, ch namba 4 kiingereza, ch namba 5 kifaransa......

Hapa wanatangaziwa kabisa lugha fulani ni ch namba fulani so wewe una select namba ya lugha yako, wale wanaotafsiri kule hawajui wanamtafsiria nani.......wao wanapokea kilichoongelewa na wao wanakitafsiri kama kawaida

Kwa uchache huo nadhani utakuwa umeelewa kidogo
 
Kwa ufupi ni kwamba unachagua lugha yako katika lugha ambazo zimetayarishwa unabonyeza,unakuta mfasiri yupo live
Hata kama mpo watu 20 lugha tofauti,basi watawekwa wafasiri 20 tofauti ili kukidhi haja za wageni
 
Kama mkutano una watu wanaozungumza lugha 5 (kwa mfano) wanakuwepo pia watu watano kwenye chumba maalumu ambao unakuta labda chanel namba 1 kireno, ch namba 2 kichina, ch namba 3 kirusi, ch namba 4 kiingereza, ch namba 5 kifaransa......
Hapa wanatangaziwa kabisa lugha fulani ni ch namba fulani so wewe una select namba ya lugha yako, wale wanaotafsiri kule hawajui wanamtafsiria nani.......wao wanapokea kilichoongelewa na wao wanakitafsiri kama kawaida
Kwa uchache huo nadhani utakuwa umeelewa kidogo
ahsante sana mkuu! nimekupata sasa ngoja niende kijiwen kuwa elimisha!
 
Back
Top Bottom