Kiendacho kwa mganga hakirudi!

mrangi

JF-Expert Member
Feb 19, 2014
80,835
106,035
Haya wale wazee wa kufatilia pesa za desi,qnet etc habari ndiyo hiyo mwana fa ft Ay

Ova
IMG-20201218-WA0022.jpg


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Hawa walioliwa na Qnet wasituvuruge.
Walishindwaje kufanya tathmini kabla ya kukubali kunyolewa?
 
Hakika hakuna kurudishiwa!! Ningependa hata za Mr KUKU serikali izichukue wakajenge miondombinu iwasaidie wananchi.
 
Mwalimu mzuri katika maisha ,ni makosa yako mwenyewe.
So kupitia makoxa nadhani wahanga watakuwa waalimu wazuri kwa wenzao.

#jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom